CHADEMA Haina Itikadi Kama Chama!

Uvivu wa kusoma huo, hapa Marwa anasema 'amesoma' katiba yote ila hajaona ni chama chenye itikadi gani mpaka anakifananisha na timu ya simba! Labda neno itikadi linamsumbua lakini limeelezwa vizuri kwenye katiba na website ya cdm, rudi kasome utaona jibu cdm ni 'mrengo' wa kati kushoto na kuna siku Dr alieleza kwa kina sana kwenye mahojiano Chanel Ten
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!
My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?

inawezekana wewe ndo unamatatizo ya akili, nyie ndo wale wenye shule za kuungaunga na mara nyingi hujifanya mnajua sana mambo. mi ninawasiwasi na kisomo chako kaka ama sivyo wewe ni gamba kaka.
 
nimepitia kwa umakini katiba ya chadema tofauti na matarajio ya chama chochote cha siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni chama cha kijamaa au ni chama cha kibepari! Tofauti na ccm ambao wao wanasema ni chama cha kijamaa japokuwa ujamaa walisha uweka kando! vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini ubepari au ujamaa! Hata marafiki zao wa ujerumani na uingereza wamebainisha mlengo wa vyama vyao! Wanachama wa chadema walio wengi hata hapa jf hawajui itikadi ya chama chao(inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya chadema na timu ya simba wala yanga kwani hawana itikadi!
My take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani ujamaa au ubepari! Wanachadema jiulizeni itikadi ya chama chenu ni ipi?
kwenye red hapo kama ujamaa mmesha uweka kando mnafuata itikadi gani ambayo ipo kwenye katiba ya chama cha magamba? Je chama chenu ni popo,ndege,nyoka,kuku,bata au????????????????????????????????????????????
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!
My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?

at least ina itikati ya taifa na utaifa kwanza
 
nimepitia kwa umakini katiba ya chadema tofauti na matarajio ya chama chochote cha siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni chama cha kijamaa au ni chama cha kibepari! Tofauti na ccm ambao wao wanasema ni chama cha kijamaa japokuwa ujamaa walisha uweka kando! vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini ubepari au ujamaa! Hata marafiki zao wa ujerumani na uingereza wamebainisha mlengo wa vyama vyao! Wanachama wa chadema walio wengi hata hapa jf hawajui itikadi ya chama chao(inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya chadema na timu ya simba wala yanga kwani hawana itikadi!
My take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani ujamaa au ubepari! Wanachadema jiulizeni itikadi ya chama chenu ni ipi?
kwenye red hapo kama ujamaa mmesha uweka kando mnafuata itikadi gani ambayo ipo kwenye katiba ya chama cha magamba? Je chama chenu ni popo,ndege,nyoka,kuku,bata au????????????????????????????????????????????
 
nimepitia kwa umakini katiba ya chadema tofauti na matarajio ya chama chochote cha siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni chama cha kijamaa au ni chama cha kibepari! Tofauti na<span style="color: Rgb(255, 0, 0);"> ccm ambao wao wanasema ni chama cha kijamaa japokuwa ujamaa walisha uweka kando! </span>vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini ubepari au ujamaa! Hata marafiki zao wa ujerumani na uingereza wamebainisha mlengo wa vyama vyao! Wanachama wa chadema walio wengi hata hapa jf hawajui itikadi ya chama chao(inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya chadema na timu ya simba wala yanga kwani hawana itikadi!<br>
my take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani ujamaa au ubepari! Wanachadema jiulizeni itikadi ya chama chenu ni ipi?<br><br>
kwenye red hapo kama ujamaa mmesha uweka kando mnafuata itikadi gani ambayo ipo kwenye katiba ya chama cha magamba? Je chama chenu ni popo,ndege,nyoka,kuku,bata au????????????????????????????????????????????
 
Falsafa ya Chama
  1. Falsafa ni fikra na mtazamo wa Chama ambayo ni kuamini katika “Nguvu na Mamlaka ya Umma” (The People’s Power) katika kumiliki, kuendesha, kubuni, na kuendeleza maamuzi, mawazo, rasilimali, uchumi na siasa ya nchi yao.
  2. Aidha falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” ndiyo msingi na chimbuko la kuundwa dola ya nchi, na kuwa, Umma ndiyo wenye madaraka ya mwanzo na ya mwisho katika kuamua hatima ya nchi na taifa pasipo kuingiliwa, kudanganywa au kughilibiwa na viongozi, watawala au wageni.
  3. Ujenzi na udumishaji wa Demokrasia na Maendeleo nchini vitatokana na Nguvu na Mamlaka ya Umma wa Watanzania. Nguvu na Mamlaka ya Umma itabainishwa, kuainishwa na kulindwa katika Katiba ya nchi na Umma ndiyo utakuwa chimbuko la Katiba hiyo.
  4. Historia inaonyesha kuwa “UMMA” wa Watanzania haujawahi kuwa na sauti, mamlaka na madaraka juu ya maamuzi ya hatima ya maisha ya watu. Uhuru, nguvu, mamlaka na madaraka wakati wote, tokea enzi za ukoloni mpaka leo, vimekuwa vikihodhiwa na kumilikiwa na watu wachache ambao wana mamlaka ya kuongoza SERIKALI na kuwakandamiza wananchi.
  5. CHADEMA tunaamini kuwa mifumo na miundo ya utawala wa nchi yetu havijawapo kwa ajili ya kuutumikia umma, bali umma ndiyo huzitumikia serikali hizo ambazo ni mali ya watu wachache wanaopoka “Nguvu ya Umma”. Sambamba na hilo, umma wa Watanzania umekuwa hauna mamlaka ya mwisho ya kuhoji maamuzi ya serikali yanayowaathiri watu, na hivyo kujikuta hauna mamlaka juu ya rasilimali, sheria, utawala, na uendeshaji wa nchi. Aidha, Katiba ya Nchi imekuwa miliki ya Serikali kwa kutumia Bunge ambalo linatawaliwa na mawazo kongwe ya ukiritimba wa enzi za mfumo wa Chama kimoja cha siasa nchini.
  6. CHADEMA tunaamini na kutambua kuwa “kuchaguliwa” kuunda utawala wa kuongoza nchi hakumaanishi wachaguliwa kujitwalia mamalaka ya UMMA na kisha kuyatumia mamlaka hayo kuwakandamiza “waliowachagua” kwa sababu tu ya kutetea maslahi binafsi badala ya maslahi ya umma.
  7. Hivyo basi, falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” ndiyo njia ya msingi ya kubadilisha fikra na uongozi unaokandamiza umma, ili kuibua fikra mpya na kuweka uongozi unaoweza kumilikiwa, kuhojiwa, na kuwajibishwa na umma kwa kutumia vyombo vilivyopatikana kwa utashi wa wengi kupitia chaguzi huru na za haki.
  8. Falsafa ya “Nguvu na Mamlaka ya Umma” inalenga kuwaamsha, kuwahamasisha, kuwaelimisha, kuwashawishi na kuwaandaa Watanzania wachukue hatua ya kuimiliki, kuitawala, kuilinda na kuifaidi nchi yao tofauti na kipindi cha miaka mingi chini ya mfumo wa chama kimoja cha siasa na miaka kumi na nne ya mwanzo ya mfumo wa vyama vingi.
 
Huwezi kujua itikadi ya CDM kwa sababu wewe umekariri itikadi lazima iwe ujamaa au ubepari, wakati ambapo CHADEMA si wabepari wala wajamaa. Toka nje ya box usome tena katiba na ilani ya CHADEMA utaielewa itikadi yao.
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!
My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?

Kuwa Great thinker ni pamoja na kupenda na kujenga tabia ya kujisomea


Itikadi ya Chama

CHADEMA ni chama cha itikadi ya MRENGO WA KATI (center party).


CHADEMA ni chama kinachoamini kukuza na kuimarisha uchumi wa nchi kwa kutumia raslimali za nchi yetu bila kuathiri uhuru wa Taifa, na kuhakikisha kuwa umma kwa ujumla unanufaika na raslimali zao.


CHADEMA inaamini katika kujenga na kuimarisha uchumi wa soko huru, utakaoheshimu na kulinda haki na mali za watu, biashara huru na sekta ya watu binafsi bila kupoka mamlaka ya umma katika maeneo nyeti hususani pale penye hitilafu ya soko au penye maeneo nyeti ya kiuchumi. Tunaamini katika soko huru sio soko holela.


CHADEMA inaamini kuhakikisha matumizi bora ya raslimali asilia za nchi ili zichangie kikamilifu katika pato la taifa na hasa kuboresha huduma za kiuchumi zinazotumiwa na wananchi wote.


CHADEMA inaamini katika uzalendo na kuthamini mila na desturi zetu zilizo nzuri.


CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki.


CHADEMA inaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenye kusimamia zaidi maslahi ya Taifa.


CHADEMA inaweka umuhimu wa pekee katika familia kama moja ya taasisi muhimu ya kijamii.


CHADEMA inaamini katika umuhimu wa uhuru wa kuamini katika kujenga maadili ya mwanajamii mmoja mmoja bila kuifanya dini kuwa sehemu ya dola.


CHADEMA inaamini taifa linaundwa na watu, hivyo uhai wake unawategemea watu, na mabadiliko yake yanatokana na watu.


CHADEMA inaamini katika kujenga uwezo wa wazawa katika kumiliki na kuendesha uchumi.


CHADEMA inaamini kumiliki raslimali na mali miongoni mwa wananchi kunawapa uhuru zaidi hivyo tunataka kujenga chama na baadaye taifa lenye kutoa fursa, ambapo kila mtu bila kujali asili na hali yake anaweza kutimiza na kufanikiwa kadiri ya vipaji vyake.



Nini Falsafa ya Chama?

Falsafa ni fikra na mtazamo wa Chama ambayo ni kuamini katika "Nguvu na Mamlaka ya Umma" (The People's Power) katika kumiliki, kuendesha, kubuni, na kuendeleza maamuzi, mawazo, rasilimali, uchumi na siasa ya nchi yao.


au gonga hapa


Itikadi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo


So ukiangalia political spectrum by Hans Slomp (as applied to European Politics) multi-parites which we have adopted you will cealry see that being Centricity part mean you are subscribing to social democracy ideals as described by Chadema hapo juu.

gonga hapa uone

http://en.wikipedia.org/wiki/Political_spectrum
 
Safi sana mkuu. Kama mtu ameuliza swali ajibiwe kama ulivyofanya. Hilo ndilo tendo la kiungwana kwa waungwana: Hoja dhidi ya hoja badala ya matusi. Kumbe CHADEMA ina itikadi lakini inaonekana wengine hawaijui ndio maana badala ya kujibu hoja wanaanza kutukana.
Mkuu wangu nadhani tulichokifanya ni kuepusha matumizi mabaya ya hizi Itikadi kwa sababu wengi watafikiria kwamba Ujamaa unaozungumzwa leo (Ukomunist na Usoshalist) ni ule wa kupinga Ubinafsishaji..

Ubepari kama Ubinafsishaji ama niseme uchumi wa nchi kuendeshwa na watu binafsi ndio njia mbadala iliyobakia ktk kujenga uchumi wa nchi karibu zote DUNIANI isipokuwa Cuba, North Korea na sijui nchi gani..Kisiasa leo hii ukiondoa Ubinafsishaji basi itikadi ya Ujamaa wa Nyerere ulikuwa ndio conservative by definition maana alitaka ku conserve African traditionals isipokuwa tatizo lilikuja ktk imani yake, serikali kumiliki njia kuu za Uchumi hivyo kutufanya sisi Wapinzani wa Ubepari, wakati kiasili, tamaduni zetu ziliruhusu kila mtu, ukoo ama nasaba kuhodhi mali na utajiri (Capitalism) pasipo kumilikiwa Kikablila, au mali ya Chief/Mtemi..

Sijui kama niemeeleweka maanake sii rahisi kuzungumzia Ubepari kama kama njia ya kukuza Uchumi kwa kuchanganya na Itikadi za Siasa leo hii..
 
Tunaomba Kiongozi wa Chadema atujuze na kutoa maelezo juu ya Itikadi ya Chadema ni jambo la msingi tuielewe Chadema kama chama ambacho kinataka kupata ridhaa ya Watanzania kuongoza Nchi! Wale vijana mnaotukana hapa JF ebu acheni matusi kwa hii hoja! Slaa,Mbowe,Zitto,Mnyika,Regia,Lema,Ndesamburo,Lema wekeni msimamo wa itkadi ya Chadema hapa jamvini

I totally support the matter! and pamoja na hili, please kama itawapendeza wakuu wa CDM (Dr. Slaa& Mbowe). wekeni hadharani mapema aina ya serikli yenu itakuaje maana kila siku tunasikia mkiukosoa huu wa sasa, tunaomba mapema tuufahamu ili usaidie watu wengi kufanya maamuzi.
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?
Si kweli chadema hawana itikadi, ni chama cha mlengo wa kati nadhan umeelewa.
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!
My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?

Kama CHADEMA hawana itikadi ni vizuri. Je hao CCM wenye hiyo itikadi kwa miaka 50 sasa imetusaidia nini? Watu wanakula itikadi?
 
Hapa tunataka jibu watueleze hawa vijana wa conservative party itikadi yao ninini?? Nyerere aliwahi kuwaambia kuwa kwa vile ni mabepari basi hawa ndio wapinzani wa kweli maana ccm inafuata ujamaa. Lakini kama ambavyo cv zao ziaanza kufahamika zaidi ya nusu ya hawa jamaa vijana wa edo mtei hawana hata elimy ya chuo kikuu ukitoa vijana wachache kama zito mdee lisu na shibuda ambao hat mwelekeo wao angalau unatia matumaini. Waliobaki na watoto wa mama kijo kisima na anawalea nkya na malya na sungusia aisee kweli hapa bila chadema kuchukua nchi akyamungu mtanilipa nyumba yangu niliyousa kule koborororoni. Sasa hawa ni mabepari au wa jamaa mbona htufanani nao??
 
nadhani una maana ya UHAFIDHINA!

Hapa tunataka jibu
watueleze hawa vijana wa conservative party itikadi yao ninini?? Nyerere
aliwahi kuwaambia kuwa kwa vile ni mabepari basi hawa ndio wapinzani wa
kweli maana ccm inafuata ujamaa. Lakini kama ambavyo cv zao ziaanza
kufahamika zaidi ya nusu ya hawa jamaa vijana wa edo mtei hawana hata
elimy ya chuo kikuu ukitoa vijana wachache kama zito mdee lisu na
shibuda ambao hat mwelekeo wao angalau unatia matumaini. Waliobaki na
watoto wa mama kijo kisima na anawalea nkya na malya na sungusia aisee
kweli hapa bila chadema kuchukua nchi akyamungu mtanilipa nyumba yangu
niliyousa kule koborororoni. Sasa hawa ni mabepari au wa jamaa mbona
htufanani nao??
 
Kabla ujaandika ki2 humu ndani jaribu kushirikisha alimashauri yako ya akili,et c c m inafata mfumo gani??
 
Hapa tunataka jibu watueleze hawa vijana wa conservative party itikadi yao ninini?? Nyerere aliwahi kuwaambia kuwa kwa vile ni mabepari basi hawa ndio wapinzani wa kweli maana ccm inafuata ujamaa. Lakini kama ambavyo cv zao ziaanza kufahamika zaidi ya nusu ya hawa jamaa vijana wa edo mtei hawana hata elimy ya chuo kikuu ukitoa vijana wachache kama zito mdee lisu na shibuda ambao hat mwelekeo wao angalau unatia matumaini. Waliobaki na watoto wa mama kijo kisima na anawalea nkya na malya na sungusia aisee kweli hapa bila chadema kuchukua nchi akyamungu mtanilipa nyumba yangu niliyousa kule koborororoni. Sasa hawa ni mabepari au wa jamaa mbona htufanani nao??

Duh, hapa ni jf au fb!?
 
Mie sijasoma kama wakina mbowe tu na yule mbunge wa mpanda aliyeishia la saba. Si mmesema tusimuulize mnyika kaishia langapi? Lakini bado naomba mtufahamishe wa Tanzania itikadi yenu ninini?? Wakati yule cheki bobu baba paroko anajaribu kuingia ikulu na first lady wa kuazima alikuwa anaimba ujamaa. alituahidi cement za bure na kusoma bure. Ingawa yeye mwenyewe ameshindwa kuthibitisha ujamaa wala ubepari. Maan mpaka sasa huyu katibu wa CHADEMA anakula ruzuku yote ya CHADEMA kama mshahara wake na ameingiza kinyemela wakezake wawili kwenye pay role ya CHAMA. JE ITIKADI ITAKUWA NINI?? MAANA WALE WAJERUMANI NA WAINGEREZA MNAOTEMBEA NAO MPAKA KWENYE VIKAO VYA JANGWANI KULE KWAO WANADANGANYA KUWA NINYI NI MABEPARI WENZAO. TUTOENI WASIWASI ILI NASISI TUFANYE MAAMUZI SAHIHI YA KUANZA KUWAAMSHA WATANZANIA KWENYE ULEVI WA CHADEMA CHADEMA KUMBE TUNAKABIDHI UHURU WETU KWA CONSERVATIVE PARTY KIULAINII. WAPENI SHULE WABUNGE WENU WAPUNGUZE SPIDI YA KUWA MADALALI WA KUUZA UHURU WA TANZANIA. KULE ZANZIBAR SUMU YA CHADEMA IMEANZA KUZAA MATUNDA. SLAA ALIKWENDA KULE NA KUWAPA MBINU YA KUAMSHA TIMBWILI LA MUUNGANO. UKIVUNJIKA SIJUI ATA ACHIEVE NINI. LABDA ATAKIMBILIA KANISANI SIE JE??
 
Mod, kwa kuwa kuna kitufe cha "Like", ni vizuri ukabuni kitufe cha "dislike" au "Hate" ili tuwe tunakandamiza tunapoona thread zenye kichefu chefu kama hii.
 
Back
Top Bottom