skendo
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 212
- 101
Nipo kwenyemkutano wa cdm wa kumnadi mgombea wa udiwani.sio sili watu ni wengi na mda huu sadaka ya ukombozi ndio imetoka changishwa watu ni wengi vibaya mno.Zitto anatalajiwa kuongeza nguvu ifikapo tarehe 28.