Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Mkuu Chadema kukataa matokeo imo kwenye sera za chama angalia tangu Urais , Igunga, Uzini wembe ni ule ule , ni njia moja wapo ya kuonesha kuwa wanaonewa kumbe danganya toto.
Halafu kitu kingine unachotakiwa kujua , hawa jamaa wanaendesha kampeni huku wakifikiria mafungu ya fedha na ndiyo maana matokeo yakishatangazwa tu huwaoni tena pengine tafsiri huja kuwa wamesusia kumbe wanakuwa wamewahi mgawo isije ikatokea wajanja wakawawahi. Unawajua lakini wajanja wa Chama? Unawajua fisi? msosi ukiwa adimu ikatokea mzoga ukasikika sehemu , hiyo vita ya fisi inakuwaje, na wakati mwingine mmoja wao akiwa lege lege anaweza kuliwa yeye. Ndicho kinachofanyika pale CDM.
Anza na Lu kwenye I'd yako isomeke Lusugu halafu wauilize wasukuma waliojirani yako maana yake ni nini.