Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.
Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?
Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?