Chadema, dont under estimate the power of our Tz Government

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?
 
Inapendeza sana kama haipiti siku bila kuitaja CHADEMA verry nice am proud of you keep it up. na hata kama ukiishiwa internet bundle nipm nitakutumia, maana nimegunduwa wewe ni mtu muhimu sana kwenye kuitangaza CHADEMA kila siku. once again THANK YUUUUUUUUUUU!
 
CCM dont undur estimet the people's power!
SI MCHEZO.
 
tuwape kwanza hiyo nafasi cdm then ndo uje na topic yako,hata kama nyie ccm hamuwajibiki ndo wananchi tunyamaze?cdm mapambano yaendelee mpaka kieleweke...
 
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?


Non sense!!
 
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?

Acha kutishia nyau watu wakubwa weweee.
 
Inapendeza sana kama haipiti siku bila kuitaja CHADEMA verry nice am proud of you keep it up. na hata kama ukiishiwa internet bundle nipm nitakutumia, maana nimegunduwa wewe ni mtu muhimu sana kwenye kuitangaza CHADEMA kila siku. once again THANK YUUUUUUUUUUU!

inapendeza pia kuona serikali ya sisiem inatumia ideology ya CDM na kui modify ili iweze kukubalika
 
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?

mumejaa hofu ya Tunisia na Egypt.
 
Hii inaonyesha ni kwa jinsi gani nguvu ya uma inawatisha na kuhatarisha maslah yenu.
 
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?

Muflis mkubwa wee...
kwanza hujui serikali ni nini. na unachojaribu kuwasilisha hapa ni mkusanyiko wa woga ambao viongozi wa CCM na serikali wanaojitahidi kuuficha bila fanaka.
uliona mdahalo juzi ITV, Msekwa alipoambiwa 'hatuombi' ila 'tunataka' katiba mpya? alitoa macho! woga!
ujue serikali ni umma...the govt of people tz..not rulers of tz..
 
Huyu jamaa anaganga njaa. Anadhani akitoka kwa style hii ataonekana kwa mafisadi. Au ndio yule dogo wa UDOM nini?
 
The question is clear and open ,haihitaji kuleta matatizo au urithi wako ,sasa sababu inayokuleta hapa kuandika ulivyoandika ni ipi ? Au mnataka mupate madaraka na kuwa madikteta kuliko CCM ?


Ustaadh zungumza habari za CUF ndo tutakuelewa.
Chadema in wasemaji wake, wanachama wake, wafurukutwa wake, mashabiki wake na wewe si mmoja wao.
Cuf ndo inayokuhusu na kama umehama huko utakuwa umerudi ccm kwahiyo zunguimzia habari za cuf/ccm. Hata hivyo kwakuwa cuf imefunga ndoa na ccm basi hivyo ndo vyama unavyoweza kuvisemea.
 
Ndugu zangu natoa mwito hamna haja ya kujibishana na mpumbavu watu wanawezashindwa kutofautisha,huyu mwiba ni mmoja wa wapumbavu,tusichangie post zake tena
 
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu.

Leo serikali ni ya CCM kesho au tuseme 2015 Chadema mtaongoza serikali ,na wazalendo mkae mkijua kuwa ndio hawahawa wanaowapigia debe ,sasa ikiwa leo mnaanzisha mchezo wa kuwatumia wananchi kutaka mafanikio yenu kisiasa yafanikiwe ,basi muelewe wakati wenu ukifika wazalendo hawahawa watakuwa tayari kubackfire dhidi yenu kama hawakuridhika na uendeshaji wenu wa serikali,je serikali yenu itaweza kuvumilia na kuachia kama mliyoyafanya yafanyike ?

Nasisi wananchi tunasema, don't underestimate peoples power,it has happened in Tunisia,it is happening in Egypt and Yemen,it will happen here in Tanzania.And please don't ever say it again,we know what we are doing,we are rational people,we are not being used.That is an insult.
 
Back
Top Bottom