CHADEMA dkk 90 za mchezo zimeisha, hakuna ushindi wa mezani subirini 2015

Nyie endelea kulala usingizi wa pono, nwisho wa game ni mwanzo wa game lingine, CDM kaza buti 2015 sio mbali .
 
icon1.png
Nikiwa Rais wafuatao wakimbie nchi siku hiyo hiyo


Rostam, JK, Manji, EL, Riziwan, Makinda, vijisenti, na kuna vijamaa vingine majina yananitoka maana povu la hasira linanitoka
Mwananchi tumuache aumie , si ndio mkuu ?
 
Hata Tunisia, Misri na Libya wapo watu waliokuwa na mawazo kama ya kwako, lakini sasa wanalia na kusaga meno. Wewe umeshiba kumbuka kuna wenzako tume lala na njaa na hatujui kesho itakuwaje, wewe unajiona bora kwa kunyonya jasho letu na kutetea walio madarakani kwa sababu unafaidi rasilimali za taifa hili na kodi za wa lala hoi ipo siku utajua maana ya peoples power.

'
Katika kile ambacho viongozi wa CHADEMA wanahaha kukitafuta hata kwa gharama ya kuhatarisha maisha ya wananchi (mfano mauaji ya arusha) na maandamano mbali mbali ya visingizo kibao (mfano maandamano ya mwanza ) ambapo hakuna hata moja lenye mashiko ya hoja ili mradi tu watimize dhamira yao ya kutaka kushika dola ili hali watanzania tuliisha amua kwa ridhaa yetu kukipa chama na kiongozi anae faa kwenye uchaguzi uliopita wa Oktoba 2010.

Hayo yote tisa, kumi ni kuwa sie wananchi hatudanganyiki tena kwa viongozi uchwara wenye uchu wa madaraka, na wenye kuweka maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa. Kwa hiyo hilo wanalo litaka sie wananchi hatuko tayari, wasubiri tena mechi ijayo ya 2015. Hivi sasa mpira umeisha , na washindi wameisha patikana, ushindi wa mezani hakuna kama mlishindwa kuzitumia dkk 90 zenu sawa sawa
 
Nichangie hayo yaliyoko kwenye red. Sidhani kama umefatilia kwa makini hoja zao kwenye hii mikutano au pengine unaongea kiushabiki au haupo Tanzania kujionea hali kwa uhalisia, kwa kukusaidia hawa jamaa wanafanya maandamano kupinga Mfumuko wa bei, kupanda kwa gharama za maisha, sakata la Dowans ambalo kwa kiasi kikubwa limepelekea tatizo lililopo la umeme na mengineyo (fatilia kwa karibu hoja zo), kwa yote haya Rais amekuwa kimya pasipo kuzungumza lolote kama vile hakuna jambo lolote linalomgusa yeye kama kiongozi wa nchi badala yake kila mtu katika serikali yake anazungumza kile anachokifahamu (rejea baadhi ya mawaziri sakata la Dowans) imefikia wakati mwenyekiti wa kamati ya madini bungeni amekuwa kama msemaji wa serikali juu ya sakata la umeme lililopo na kwa taarifa yako leo ameitisha Public hearing pale Karimjee juu ya sakata hili, je hakuna viongozi husika kufanya hili? Kwa haya yote CDM wamempa Rais siku tisa kuzungumzia juu ya matatizo yanayowakabili hivi sasa vinginevyo wataona ameshindwa kuliongoza taifa hivyo kuitisha maandamano rasmi nchi nzima kumtaka ajiuzulu

kwenye red ya pili, ni kwamba inawezekana wewe binafsi na mimi ndio tuliamua kumchagua Rais kwa ridhaa yetu, lakini usiwasemee watanzania wote maana asilimia ya watu waliopiga kura haifiki hata nusu ya watanzania wote (soma ripoti ya wasimamizi kutoka nje ya nchi iliyotoka hivi karibuni) hivyo si wote waliridhia kumchagua kuwa rais, pia inasemwa kuwa hata mchakato uliotumika kumweka pale haukuwa halali (rejea matukio wakati wa uhesabuji wa kura uliofanywa na Tume ya uchaguzi), kwahiyo unapoongolea suala nyeti kama hili pendelea kutumia umoja badala ya wingi katika kauli zako, si hapa tu hata sehemu zingine.

Katika hiyo red ya tatu, kwa nilivyofuatilia kwa makini toka kuanza kwa maandamano yao sijasikia tamko lao lolote likisema wanataka kuchukua nchi, ama nia yao hiyo ya kutaka kujiuzulu kwa Rais ni kwa manufaa ya Chadema au maslahi yao binafsi bali wanazungumzia maslahi ya taifa kwa ujumla, haibagui dini, rangi wala kabila. Labda kwa kukufahamisha tu ni kuwa wameanza kama Chadema ila mwisho wake utakuwa ni taifa kwa ujumla.

Hoja za CHADEMA siku zote na kauli zao ni kutaka kushika dola, nakushangaa ww hutaki kuwa mkweli. CHADEMA hawapo kwa maslahi ya kitaifa, ni wimbo tu wa kisiasa, ila chui aliye vaa ngozi ya kondoo, ni watu ambao wapo kimaslahi zaidi ya wachache
 
Hakuna mwenye kukataa CHADEMA kufanya mikutano , hilo lajulikana ni shughuli za vyama vya siasa, tatizo lenu ni uroho wa madaraka mlio nao. Uchaguzi umeisha, na viongozi wamepatikana, sasa na nyie mnataka kwa wakati huu huu kushika dola , hilo litawezekana wapi ? acheni kuwa narrow minded !
Jamani nani kakwambia cdm wanataka madaraka now kwa hyo mikutano na maandamano ajenda ziko wazi kupinga kupanda kwa gharama za umeme na maisha na malipo kwa kampuni ya dowans wala usitafisiri vingine hata kama wewe ni mwana CCM na kama hayo ktk ajenda yanakugusa ur most welcome come and express ur feelings. Wenye uchu wa madaraka ni viongozi wa CUF kwa hayo wanayoyafanya coz hta ukiwauliza hko ZnZ wanatekeleza ilani gani hawana jibu
 
Jamani nani kakwambia cdm wanataka madaraka now kwa hyo mikutano na maandamano ajenda ziko wazi kupinga kupanda kwa gharama za umeme na maisha na malipo kwa kampuni ya dowans wala usitafisiri vingine hata kama wewe ni mwana CCM na kama hayo ktk ajenda yanakugusa ur most welcome come and express ur feelings. Wenye uchu wa madaraka ni viongozi wa CUF kwa hayo wanayoyafanya coz hta ukiwauliza hko ZnZ wanatekeleza ilani gani hawana jibu

Kweli humu JF mafarisayo ni wengi aisee, ww kwa hali ilivyokuwa znz ulitaka iendeleee hivyo hivyo ? nilikuheshimu kwa maoni yako ila sasa unapotoka mkuu
 
Geniusbrain,napata shaka na hili jina lako maana imeonekana dhahiri kuwa wewe si genius,unashindwaje kuelewa kuwa siasa si wakati wa uchaguzi tu bali ni swala endelevu?
Taifa letu linapita katika kipindi kigumu sana,na ni wajibu wa chama cha siasa na wananchi wote kukemea uovu wowote kwa namna yoyote bila kujali kama uchaguzi umeisha au la
Kuhusu allowance ya 350,000 ni uzushi na hujafanya utafiti huna haki ya kuongea
La msingi ni kuwa chadema wanatimiza wajibu wao,na si lazima wewe ukubali maana ukikubali au usipokubali hakubadilishi chochote sisi tutasonga mbele,hata kama wengine watatukebehi,kejeli,au kutukanwa,
sasa ya ukombozi ni sasa
 
Kikwette alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa msukosuko!

Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.
Sasa ilikuwa hivi......

Re: Kikwette alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa msukosuko!

Alipokuwa anaondoka ,alikutana na mwanajeshi mwenzie mfupi kuliko wote wakati huu wakimwita Pimbi wa Monduli Abruhaman Shimbo ......

Nikiwa Rais wafuatao wakimbie nchi siku hiyo hiyo

Rostam, JK, Manji, EL, Riziwan, Makinda, vijisenti, na kuna vijamaa vingine majina yananitoka maana povu la hasira linanitoka
PJ
Unachofanya hapa ni upumbavu mkubwa, kwanini unatuma scams kwenye thread hii?
 
Geniusbrain,napata shaka na hili jina lako maana imeonekana dhahiri kuwa wewe si genius,unashindwaje kuelewa kuwa siasa si wakati wa uchaguzi tu bali ni swala endelevu?
Taifa letu linapita katika kipindi kigumu sana,na ni wajibu wa chama cha siasa na wananchi wote kukemea uovu wowote kwa namna yoyote bila kujali kama uchaguzi umeisha au la
Kuhusu allowance ya 350,000 ni uzushi na hujafanya utafiti huna haki ya kuongea
La msingi ni kuwa chadema wanatimiza wajibu wao,na si lazima wewe ukubali maana ukikubali au usipokubali hakubadilishi chochote sisi tutasonga mbele,hata kama wengine watatukebehi,kejeli,au kutukanwa,
sasa ya ukombozi ni sasa

Hilo la posho la Tshs 350,000/= kwa siku nina uhakika nalo kwa more than 100%, hapa ndipo ufisadi unapo anza kwa CHADEMA
 
Jibuni hoja acheni jazba, ndio tatizo la wanachama/wapenzi/viongozi wa CHADEMA, kwenye hoja nyie mnaleta jazba, pevukeni mawazo !
Mimi naona ungeendesha utafiti mdogo uwaulize hao wanaokubali kuandamana, "Je, ni kwa nini viongozi wenu wakiwahamasisha mnakubali kuandamana?" Jibu utakalolipata kutoka kwa wananchi ndio zuri zaidi, kuliko kuja hapa JF kupinga maandamano wakati hao wanaoandamana wengi hawaingii humu. Vinginevyo kila siku utakuwa unalalamikia viongozi wa CHADEMA, na mwisho watu watakuona una upungufu wa mawazo, kumbe kuna kitu unataka kukiweka bayana.
 
Katika kile ambacho viongozi wa CHADEMA wanahaha kukitafuta hata kwa gharama ya kuhatarisha maisha ya wananchi (mfano mauaji ya arusha) na maandamano mbali mbali ya visingizo kibao (mfano maandamano ya mwanza ) ambapo hakuna hata moja lenye mashiko ya hoja ili mradi tu watimize dhamira yao ya kutaka kushika dola ili hali watanzania tuliisha amua kwa ridhaa yetu kukipa chama na kiongozi anae faa kwenye uchaguzi uliopita wa Oktoba 2010.

Hayo yote tisa, kumi ni kuwa sie wananchi hatudanganyiki tena kwa viongozi uchwara wenye uchu wa madaraka, na wenye kuweka maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa. Kwa hiyo hilo wanalo litaka sie wananchi hatuko tayari, wasubiri tena mechi ijayo ya 2015. Hivi sasa mpira umeisha , na washindi wameisha patikana, ushindi wa mezani hakuna kama mlishindwa kuzitumia dkk 90 zenu sawa sawa

we genius brain akili yako ipo matakoni kwan unashindwa kusoma alama za nyakat. kwa mpango huo utasababisha mwanao akose mume au mke kwa sababu nani anaetaka kupata wajukuu vilaza kama wewe.
 
Katika kile ambacho viongozi wa CHADEMA wanahaha kukitafuta hata kwa gharama ya kuhatarisha maisha ya wananchi (mfano mauaji ya arusha) na maandamano mbali mbali ya visingizo kibao (mfano maandamano ya mwanza ) ambapo hakuna hata moja lenye mashiko ya hoja ili mradi tu watimize dhamira yao ya kutaka kushika dola ili hali watanzania tuliisha amua kwa ridhaa yetu kukipa chama na kiongozi anae faa kwenye uchaguzi uliopita wa Oktoba 2010.

Hayo yote tisa, kumi ni kuwa sie wananchi hatudanganyiki tena kwa viongozi uchwara wenye uchu wa madaraka, na wenye kuweka maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa. Kwa hiyo hilo wanalo litaka sie wananchi hatuko tayari, wasubiri tena mechi ijayo ya 2015. Hivi sasa mpira umeisha , na washindi wameisha patikana, ushindi wa mezani hakuna kama mlishindwa kuzitumia dkk 90 zenu sawa sawa

asante bwana makamba tumekusikia... sasa kaa kimya fanya kzai zako za thithiemu, TUACHE CHADEMA na mambo yetu... najua maandamano yamekuchoma ndo maana unahangaika kuupotosha uma wa watanzania
 
we genius brain akili yako ipo matakoni kwan unashindwa kusoma alama za nyakat. kwa mpango huo utasababisha mwanao akose mume au mke kwa sababu nani anaetaka kupata wajukuu vilaza kama wewe.

Umeona eeee ninayo sema yale yale, wanachama/wapenzi/viongozi wa CHADEMA acheni jazba jibuni hoja, hata Prof. Shivji aliwaambia, na ww kama ndio wanachama wote wa CDM wapo kwa mawazo hayo, muda si mrefu mtasahaulika kwenye historia ya uso wa dunia, mtoto si r**ki
 
asante bwana makamba tumekusikia... sasa kaa kimya fanya kzai zako za thithiemu, TUACHE CHADEMA na mambo yetu... najua maandamano yamekuchoma ndo maana unahangaika kuupotosha uma wa watanzania

Hakuna mtu aliye chomwa na maandamano yenu ila tunawashauri kuwa jipangeni 2015 , umma wa watanzania haupo tayari kuwa na nyie sasa, matokeo ya oktoba 2010 nadhani unayo mkuu
 
Haaaa hulijui hilo, watakucheka watu. Viongozi wa CDM wanalipana kama posho ya maandamano daily, na hizi ni habari za uhakika more than 100%
 
Katika kile ambacho viongozi wa CHADEMA wanahaha kukitafuta hata kwa gharama ya kuhatarisha maisha ya wananchi (mfano mauaji ya arusha) na maandamano mbali mbali ya visingizo kibao (mfano maandamano ya mwanza ) ambapo hakuna hata moja lenye mashiko ya hoja ili mradi tu watimize dhamira yao ya kutaka kushika dola ili hali watanzania tuliisha amua kwa ridhaa yetu kukipa chama na kiongozi anae faa kwenye uchaguzi uliopita wa Oktoba 2010.

Hayo yote tisa, kumi ni kuwa sie wananchi hatudanganyiki tena kwa viongozi uchwara wenye uchu wa madaraka, na wenye kuweka maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa. Kwa hiyo hilo wanalo litaka sie wananchi hatuko tayari, wasubiri tena mechi ijayo ya 2015. Hivi sasa mpira umeisha , na washindi wameisha patikana, ushindi wa mezani hakuna kama mlishindwa kuzitumia dkk 90 zenu sawa sawa




Mkuu kidogo naona kama wewe ni mgeni kwenye hii nchi.Inaonekana hata taratibu za utendaji kazi wa viongozi wako wa nchi uhufahamu,ebu ndugu tuanze na bunge letu,wabunge wetu hupeleka kero za wananchi serikalini,serikali uzipokea kero hizo mikono miwili ,baada ya hapo hakuna kinacho fuata wananchi wataendelea katika shida zao ambazo wamesha ziwasilisha kwa wahusika .Sasa basi lawama zote zita mdondokea mbunge wao eti mbungewetu atusaidii,wewe ukiwa kama mbunge peke yako uwezi kuiwajibisha serikali kwa hiyo miaka itapita mtakua mnarudiarudia kulizungumzia tatizo hilohilo bira utatuzi mfano tatizo la sasa la umeme.

kwahiyo mkuu mimi ninaona MIGOMO,MAANDAMANO ni njia nyepesi kwa wananchi kuweza kuiwajibisha serekali kwakua njia nyingine zote zimeshindikana.Tukibaki na njia zetu zile za zamani za kuongea tu bungeni hatutaendelea kwakua serikali imelala,mifano ipo wazi,kumbuka kipindi cha Mkapa madaktari waliomba waongezewe mshahara jamaa likagoma likisingizia serikali haina hela,madoctor wakagoma angalia kilicho fuata serikali iliwaongezea mishahara madoctor,Vilele kipindi kile tulipokua tukisoma sekondari mambo mengi yalikua hayabadiliki bila kugoma mambo yameendelea hata chuo kikuu bila kugoma kupata haki zenu kwa muda muafaka inakua hadithi.

Sasa mkuu mimi ninawapongeza chadema kwa maandamano yao (kunji) kwani hiyo
ndiyo njia nyepesi ya kuiwajibisha serikali na sivyo unavyo fikilia wewe kwamba wanataka kuchukua madaraka,wabunge na wananchi kwa pamoja andamaneni mkadai haki zenu sio mnakaa tu .poa mkuu

 
Back
Top Bottom