Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna askari wa kikosi cha kutuliza ghasia hapa ofisi za cuf temeke wakiwa na magari yao ya maji yenye kuwasha na watu ni wengi sana! Aliye na taarifa kamili atuhabarishe ni nini kinaendelea.
Nilikuwa napita na gari mkuu, na nilivyo waona ndo nikaongeza na spidi maana hawachelewi kukutafutia makosa hivyo nikashindwa kudadisi kwa kina kinachoendeleatuhabarishe wewe uliyeona.!
Chadema yasemekana imekosa sababu ya kufanya maandamano dsm. Wakati mambo ya kutetea watanzania dsm yapo mengi.yapuuza imani yake katika maandamano ya dsm.kiongoz mmoja wa cdm akesha ofc za igp kumwambia 'ukiruhusu cuf waandamane na cc tutaandamana fanyeni lolote muwezalo kuhakikisha cuf awaandamani,'igp hamshangaa amwambia aliekutuma siku zake zina hesabika.
sasa wewe unakimbia f.f.u afu unatafuta taarifa,hao unaowauliza kwani si watu walioumbw kwa damu na nyama kama wewe?. .ebu acha kujipaint rangi ya magamba,mpiganaji ambae yuko afiliated na wanajamvi angepaki akaafatilie apost taarifa na picha kbs..haya rudi upesi!Nilikuwa napita na gari mkuu, na nilivyo waona ndo nikaongeza na spidi maana hawachelewi kukutafutia makosa hivyo nikashindwa kudadisi kwa kina kinachoendelea
ww pumbafu ondoa upepo huku huna hata muda jf unaanza umbea JiChadema yasemekana imekosa sababu ya kufanya maandamano dsm. Wakati mambo ya kutetea watanzania dsm yapo mengi.yapuuza imani yake katika maandamano ya dsm.kiongoz mmoja wa cdm akesha ofc za igp kumwambia 'ukiruhusu cuf waandamane na cc tutaandamana fanyeni lolote muwezalo kuhakikisha cuf awaandamani,'igp hamshangaa amwambia aliekutuma siku zake zina hesabika.
kwani yeye mwandishi wa habari? na kama alikuwa ana ishu zake nyingine aziache?sasa wewe unakimbia f.f.u afu unatafuta taarifa,hao unaowauliza kwani si watu walioumbw kwa damu na nyama kama wewe?. .ebu acha kujipaint rangi ya magamba,mpiganaji ambae yuko afiliated na wanajamvi angepaki akaafatilie apost taarifa na picha kbs..haya rudi upesi!
Ha ha haaa! Mkuu we wa wapi?! Yaani full uoga kwa kuona tu ffu? Ha ha haa yaani kama vile nakuona!!!Nilikuwa napita na gari mkuu, na nilivyo waona ndo nikaongeza na spidi maana hawachelewi kukutafutia makosa hivyo nikashindwa kudadisi kwa kina kinachoendelea
Maandamano usishiriki ila shiriki kujifunza japo kuandika kiswahili.
Wewe unaonekana ni Mtanzania mwenyeuchungu na nchi yako basi isaidie nchi yako katika hili la lugha.