Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,101
Kumekuwa na lindi la wakimbizi wa kisiasa kuhamia vyama vya upinzani hasa pale wanaposhindwa kura za maoni na kwa haya nimeona niwabarishe ndugu zangu wa cuf na chadema msikimbilie ovyo kuwachagua jiulizeni wametokea wapi wanataka nini na kwa nini wahamie muda huu..tumeona wengi wakiachwa wanakuja kuomba kugombea upinzani post zile zile noo noo noo nasema tusiwe dampo la wakimbizi..tuwapokee tuwakaribishe lakini mapema sana kuingia jikoni waanze kujipakulia....mi nahisi kuwe nha msimamo imara juu ya haya
upinzani oyeeeeeeeeeeeee
upinzani oyeeeeeeeeeeeee