Erick G. Mkinga
Member
- May 19, 2011
- 62
- 5
Rais mstaafu wa wanafunzi chuo cha ardhi (ARUSO) BW.Tegemeo,waziri mkuu wake Bw. BEga na Spika BW. Jikola wote wakiwa wanachama WA CHADEMA,wamekula njama wameiba pesa za Wanafunzi milioni 12.Dhamana waliyopewa wameshindwa kuitumia ipasavyo kiasi cha kusababisha wafuasi wa CHADEMA kuunga na CCM na kumpitisha Bw Mvungi kuwa rais mpya wa chuo kikuu ardhi na JUMA MKAMBA kama makamu (wote wanachama waCCM) sababu hawajaona Umuhimu wa kupigania kitu ambacho ni tabia ya mtu na siyo chama.WAmeamua kuchagua kiongozi BORA siyo CHAMA...Pongezi kwa wasomi kwa maamuzi BORA,...Tuzidi kuwapima na wengine ili tuchague wale walio bora tuu.