CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

Ni kweli kabisa kuwa tumefika hapa tulipo kwa sababu ya akili zetu hata makusudi kabisa, lakini siku zote serikali makini ni ile inayojenga upinzani wa nguvu ili kuleta mageuzi makubwa
 
Baada ya blah blah nyingi na majigambo ya kuwafikia wananchi kwa urahisi, hatimae Chadema wamegundua siasa sio kuvurumisha chopa hewani na sasa wamezika rasmi uwezakano wa kutumia chopa kule Bihalamuro.

Huku akionyesha kukata tamaa na kampeni zilizo dorora kama mjuzi usio na ndimu Freeman Mbowe kachomoa kutumia chopa kwenye kampeni za Biharamulo.

Watafiti wana magiwji wa siasa wanadai Mbowe anaelekea kufuata ushauri wa Mzee Malecela kuwa siasa haichezwi angani bali ni kwenye ground na hakuna kituo cha kupigia kura kilichopo hewani.

Kuna uvumi uliozaa kuwa mfadhili wa Chopa Mzee Mengi kaishiwa kiasi cha kushindwa kuwalipa mishahara ya mwezi uliopita wafanyakazi wa IPP. Hivyo amewashauri watafute "vyanzo" vingine. Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja hivyo "vyanzo" vingine ni vipi.

Tupate habari zaidi!

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ametamba kwamba safari hii Jimbo la Biharamulo Magharibi ni mali ya chama chake ndio maana hakulazimika kutumia helikopta kufanya kampeni.

Alisema kutokana na uhakika waliona ndio sababu chama chake kimeshajipanga vizuri na kuandaa mikakati ya kulinyakua na akaongeza kuwa jimbo hilo kwa sasa si mali ya Tanzania Labour (TLP) wala Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mbowe aliyeambatana na Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee alisema Chadema ndio chama cha pekee chenye nguvu kilichojipanga vizuri na kina mkakati wa kutosha kulinyakua jimbo hilo baada ya kubaini makosa yaliyofanywa na TLP baada ya aliyekuwa mbunge wake, Phares Kabuye kufariki.

Alisema chama chake kilianza mapema kuelekeza nguvu zake kuanzia ngazi ya kaya ili kuhakikisha kwamba hilo jimbo linakuwa himaya ya chama hicho kwani wananchi wanatambua kuwa upinzani ndio unaweza kuwaletea maendeleo, kwani kwa madai wametelekezwa na Serikali ya CCM.

Alisema kwa kuwa mikakati ya chama hicho ilishafanyika mapema ili kunyakua jimbo hilo, hakuona haja ya kutumia helikopta kwa kuwa tayari wamejenga mtandao wa kuwafikia wananchi walio wengi baada ya kujua matatizo yao na kujua jinsi watakavyowasaidia kwa kumtumia mgombea wao Anthony Mbasa.

Mbowe alisema wananchi wa jimbo hilo wanatambua kwamba Mbasa amekuwa akishiriki katika huduma mbalimbali za kijamii katika jimbo hilo kutokana na taaluma yake ya udaktari inayofamfanya azunguke katika vijiji, kata na tarafa vya jimbo hilo kuwahudumia wananchi katika mazingira magumu.
 
Baada ya blah blah nyingi na majigambo ya kuwafikia wananchi kwa urahisi, hatimae Chadema wamegundua siasa sio kuvurumisha chopa hewani na sasa wamezika rasmi uwezakano wa kutumia chopa kule Bihalamuro.

Huku akionyesha kukata tamaa na kampeni zilizo dorora kama mjuzi usio na ndimu Freeman Mbowe kachomoa kutumia chopa kwenye kampeni za Biharamulo.

Watafiti wana magiwji wa siasa wanadai Mbowe anaelekea kufuata ushauri wa Mzee Malecela kuwa siasa haichezwi angani bali ni kwenye ground na hakuna kituo cha kupigia kura kilichopo hewani.

Kuna uvumi uliozaa kuwa mfadhili wa Chopa Mzee Mengi kaishiwa kiasi cha kushindwa kuwalipa mishahara ya mwezi uliopita wafanyakazi wa IPP. Hivyo amewashauri watafute "vyanzo" vingine. Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja hivyo "vyanzo" vingine ni vipi.

Tupate habari zaidi!

Kwani kuna tatizo gani kubadili mbinu za kivita? Labda kwa wale walio kwepa kwenda JKT ambao hawakupata Mbinu za.. uwapo vitani

Bravo Chadema kwa kubadili njia hasa kufika vijijini walipo wapiga kura wengi wasio jua chanzo cha umasikini wao ni huyo wanaye ambiwa wampe kura yao!
 
Baada ya blah blah nyingi na majigambo ya kuwafikia wananchi kwa urahisi, hatimae Chadema wamegundua siasa sio kuvurumisha chopa hewani na sasa wamezika rasmi uwezakano wa kutumia chopa kule Bihalamuro.

Huku akionyesha kukata tamaa na kampeni zilizo dorora kama mjuzi usio na ndimu Freeman Mbowe kachomoa kutumia chopa kwenye kampeni za Biharamulo.

Watafiti wana magiwji wa siasa wanadai Mbowe anaelekea kufuata ushauri wa Mzee Malecela kuwa siasa haichezwi angani bali ni kwenye ground na hakuna kituo cha kupigia kura kilichopo hewani.

Kuna uvumi uliozaa kuwa mfadhili wa Chopa Mzee Mengi kaishiwa kiasi cha kushindwa kuwalipa mishahara ya mwezi uliopita wafanyakazi wa IPP. Hivyo amewashauri watafute "vyanzo" vingine. Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja hivyo "vyanzo" vingine ni vipi.

Tupate habari zaidi!

Mkuu Masatu naweza kukubaliana na wewe katika baadhi ya mambo hasa CHADEMA kuacha kutumia chopa pengine wamebaini walifanya makosa katika kampeni za Busanda.CCM nao walikuwa wanatumia chopa katika chaguzi ndogo kama Kiteto sasa sijui nani alikuwa akiwafadhili.

Hii habari eti Mzee Mengi kaishiwa kiasi cha kushindwa kuwalipa mishahara ya mwezi uliopita wafanyakazi wa IPP imekaa kiushabiki.Mzee Mengi juzi juzi katoa fedha nyingi [400 milion] kama msaada katika harambee ya KKKT mkoani Kilimanjaro.

Mzee Mengi ni mwanachama wa CCM sidhani kama ni kweli anawasaidia CHADEMA gharama za kukodi chopa,umeamua kujikita katika ushabiki zaidi badala ya kuangalia hali halisi.Naomba utupatie uthibitisho wa madai yako.Si vizuri kuleta habari za uvumi jamvini.

Naomba kuwasilisha.
 
Baada ya blah blah nyingi na majigambo ya kuwafikia wananchi kwa urahisi, hatimae Chadema wamegundua siasa sio kuvurumisha chopa hewani na sasa wamezika rasmi uwezakano wa kutumia chopa kule Bihalamuro.

Tupate habari zaidi!

Nakubaliana na wachangiaji waliotangulia. Wewe bwana Masato unaonekana kuleta hoja ya ushabiki....sasa umeshindwa kuleta supporting data.

Unapaswa kujua kuwa, politics is a game...wachezaji..kila kukicha wanatafuta njia rahisi ya kujipachika mabao. Bila shaka wewe ulisaidia kuiba kura kule Busanda vijijini...ndio maana unashangaa Mbowe kupita ardhini! Tofauti na Busanda....Chadema wamekuja na stile ya ardhini kwa lengo la kudhibiti kura! Upo?

Una uhusiano na Rosram nini? Du you think it is that easy kwa Mzee Mengi kufilisika over night? Lakini hata akifilisika sitashangaa but it will be a long process. Unaweza kiujifinza from General Motors etc!
 
Salaam,
Biharamulo kumekucha, kampeni za mwisho kabla ya uchaguzi wa Jumapili zimeanza mjini Biharamulo. ushindani mkubwa ni kati ya vyama vya CCM na Chadema.
TLP kiko kiko tuu kama mwana mfiwa.
Bado hakuna shamra shamra na mashamshamu ya kampeni za mwisho kama Busanda kwa sababu wana Bimulo ni wakimya, na hawatabiriki.
Jumla ya watu 71,000 ndio wamejiandikisha.
Nitawajulisha kinachoendelea kwa kadri muda unavyokwenda.
 
Watafiti wana magiwji wa siasa wanadai Mbowe anaelekea kufuata ushauri wa Mzee Malecela kuwa siasa haichezwi angani bali ni kwenye ground na hakuna kituo cha kupigia kura kilichopo hewani.
...
Kuna uvumi uliozaa kuwa mfadhili wa Chopa Mzee Mengi kaishiwa kiasi cha kushindwa kuwalipa mishahara ya mwezi uliopita wafanyakazi wa IPP.
Kama ni uvumi basi ingekuja humu kama 'TETESI' hadi hapo itakapothibitishwa au itakapokanushwa, na hadi hao Watafiti na Magwiji wa siasa watakapojulikana ni wakina nani. Si mtu yeyote tu akijiita ni mtafiti na gwiji wa siasa ndivyo alivyo!
 
Tunakutegemea mzee wangu na tena utatueleza mambo yaliyojili huko na pia kusema ni nani ameshinda na hii ndio itakuwa kipimo halisi cha uchaguzi mwakani, Hata kama CHADEMA wakishindwa wamedhibitisha kuwa ni CHAMA MAKINI sana Tanzania kwa Sasa na pia itakuwa vizuri sana kama wakipewa wao kuongoza huko
 
Baada ya viongozi wa kanisa kuchoshwa na CCM, hasa JK wameamua kukihalalisha chadema kuwa chama rasmi kwa wakristo wote, unaweza kuangalia SAFU yao uongozi wa juu hakuna waislamu na pia slaa ni padre (hii nafasi kama CID vile mpaka kufa mtu haachi). Mambo yafuatayo yanadhihirisha hilo
a) Hivi karibuni inasemekana walimrubuni Lwakatare atoke CUF
b) Chadema inapewa support kubwa na wafanyabishara wa kikristo na fedha nyingine kutoka kanisani ili iweze kushinda, wako kina Mengi (nyangumi) hii inafanyika kwa siri kubwa
c) Vyombo vya habari na mitandao itatumika ku-influence public opinion kanisa pamoja na Mengi wana-own 90% of the media Tanzania.
d) Hata hii movement ya waraka wa uchaguzi ni sehemu ya mkakati wenyewe
NB. Waislamu watagawanywa ili kila wakati ashinde mkristo nafasi ya U-rais!
 
Hayo ndo yaleyale ya Busanda na weshaingia CCM No.2(chadema) ndo kabisa mambo yataharibika.
 
Hilo chopa ndio biashara ya Mbowe analitumia weweeeee harafu mkipata wabunge ile posho inakatwa yote kwa ajili ya chopa.

Jamaa ni mfanya biashara makini ameona uwezekano wa kupata hiyo posho ni ndogo hivyo pesa yake haitarudi kwa haraka kaamuwa kukaacha na ukizingatia kule busanda walimiss.
teh teh teh teh teh
CCM mbofu mbofu CHADEMA nayo ndiyo hiyo ,CUF wao si mafisadi ila nafikiri wana something behind.
 
Niko kwenye kampeni ya TLP, inayoendelea viwanja vya Stendi Kuu hapa Bi'Mulo.
Mwenyekiti Agostino Lyatonga Mrema anaunguruma. Anamwanga mbovu kuhusu CCM na Chadema kuja kumpokonya jimbo pekee la TLP. Amewapaka. Sana viongozi wa juu wa CCM na Chadema kwa kila aina ya Tusi.
 
Mbona sasa mnaanza kuleta majungu, kwani kikiwa chama cha maskofu kuna nini?? Mbona mnaanza kupotea ndugu zangu, Watu wanakuja na kuponda kuhusu CHADEMA?? Why vyama vingine Kama CUF?? TADEA, UDP and vyama vingine, Kwani kule Argentina aliwahi anaongoza Parde na wapiga kura walio wengi ni Wakatoliki, Kwani vipi jamani?? Sasa haya majungu
 
Mbona sasa mnaanza kuleta majungu, kwani kikiwa chama cha maskofu kuna nini?? Mbona mnaanza kupotea ndugu zangu, Watu wanakuja na kuponda kuhusu CHADEMA?? Why vyama vingine Kama CUF?? TADEA, UDP and vyama vingine, Kwani kule Argentina aliwahi anaongoza Parde na wapiga kura walio wengi ni Wakatoliki, Kwani vipi jamani?? Sasa haya majungu
Argentina siyo Tanzania! Argentina wengi ni wakatoliki hivyo hakuna problem akiwa padre rais lakini tanzania haiko kihivo!
 
Baada ya viongozi wa kanisa kuchoshwa na CCM, hasa JK wameamua kukihalalisha chadema kuwa chama rasmi kwa wakristo wote, unaweza kuangalia SAFU yao uongozi wa juu hakuna waislamu na pia slaa ni padre (hii nafasi kama CID vile mpaka kufa mtu haachi). Mambo yafuatayo yanadhihirisha hilo
a) Hivi karibuni inasemekana walimrubuni Lwakatare atoke CUF
b) Chadema inapewa support kubwa na wafanyabishara wa kikristo na fedha nyingine kutoka kanisani ili iweze kushinda, wako kina Mengi (nyangumi) hii inafanyika kwa siri kubwa
c) Vyombo vya habari na mitandao itatumika ku-influence public opinion kanisa pamoja na Mengi wana-own 90% of the media Tanzania.
d) Hata hii movement ya waraka wa uchaguzi ni sehemu ya mkakati wenyewe
NB. Waislamu watagawanywa ili kila wakati ashinde mkristo nafasi ya U-rais!

teh teh teh
Mbona Zito sio mkristu?? ama naye kashawishika teh teh teh.

Chadema ni newbie hawawezi kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom