venividivici
Member
- Dec 30, 2006
- 19
- 0
Well, CHADEMA kabla ya kutegemea kufanya mambo makubwa inabidi iangalie misingi ya chama chake - Kwa mawazo yangu structure ya CHADEMA is not sustainable. In a short term CHADEMA can succeed but not in along term, it is doomed to fail - Inabidi kuwa na diversity kwenye Uongozi wa hiki chama. Na kisiendeshwe kama ukoo au kuleta impression hiyo. Do not get me wrong wanajitahidi kufanya hivyo kama ilivyo jionyesha kwenye uchaguzi huu lakini kuna mambo fulani au nafasi fulani za uongozi CHADEMA hazipo tayari kubadilika -:smile-big: --- go figure