Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu walau kila kaz,ujumbe mbalimbali za CDM.
Ninazikubal jitihada zao,ila niko na swal moja...
Mbona jitihad za viongoz wa kuu wa Chadema jitihada zao zimekaa sana katika mikoa Arusha,Mara,Mwanza na Shinyanga?
Mikoa hiyo tayari CDM inafaamika sana,sasa kwa nini jitihada hizo 2siziamishie mikoa kama Mtwara,Lindi,Ruvuma na mikoa mingne ambayo CDM haijaota mizizi bado.
Tuongeze jitihada kuelekea 2015....
Wenu mwanachama mtiifu
Ninazikubal jitihada zao,ila niko na swal moja...
Mbona jitihad za viongoz wa kuu wa Chadema jitihada zao zimekaa sana katika mikoa Arusha,Mara,Mwanza na Shinyanga?
Mikoa hiyo tayari CDM inafaamika sana,sasa kwa nini jitihada hizo 2siziamishie mikoa kama Mtwara,Lindi,Ruvuma na mikoa mingne ambayo CDM haijaota mizizi bado.
Tuongeze jitihada kuelekea 2015....
Wenu mwanachama mtiifu