Chadema, CCM yametimia

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.
Hao wadadisi wa mambo ya siasa ni akina nani? REDET, SYNOVATE AU wewe mwenyewe? sisi huku kwetu Bugula ChaDeMa ndio chama tawala sijui huko kwenu
 
CHADEMA ni chama kisicho na sera kabisa, sera yao ni ufisadi tu hawana sera nyingine. Hebu cheki kipindi watu wanakufa mahospitalini kutokana na mgomo wa madr, hapakuwepo na hata ka mpango ka kuandaa maandamano nchi nzima kutoka kwao na hivyo serikali ikawa haina mtu/chombo cha kuishinikiza ili iharakishe kutatua madai ya madr. Ila kama ingekuwa kupinga kulipwa kwa dowanz, maandamano yangekuwa ni mapema sana, au kama ingekuwa ni mafuriko wangejidai kuwatembelea waathirika haraka sana, ila kipindi wagonjwa wanakufa hospitalini CHADEMA hawakuonekana mahosiptalini ili kuwafariji wagonjwa. Poor CHADEMA.
 
dah nilikuwa sijaiona id ya mleta hoja kumbe wewe! duh haya bwana na mtazamo wako hasi ubarikiwe sana
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

Usichonge sana Wewe subiri Arumeru ndio utajua Kama CHademA imechoka AMA la. huo uccmfsdi wenu ndio unawapelekea kuamini kile mnachoota na kutaka hata wenye akili zao timamu waamini ndoto hizo za alinacha. Uozo ndani ya CcMfsd hauwezi kutoka kwa style hii Ni mpaka Chama lenu ligawanyike, wa chafu watoke wabaki wasafi AMA wachafu wenye nguvu zao wabaki na kuendelea kulichafua chama lenu na Waleee wasafi waje huku tulipo Sisi.
 
Tuna wasiwasi na unakoshi, CCM inapaa wapi? labda kwa akina bibi wasiojua kitu ndo wanaipaisha, shame upon you
 
Haa haa haa, Ridhiwani Kikwete bana!!

Mpuuzeni Ritz hana jambo la maana sana! KAMA PETE YA DHAHABU PUANI MWA NGURUWE VIVYO HIVYO HESHIMA HAIMPASI MPUMBAVU! Leo Ritz anakuwa mzee wa hekima wa kuishauri CDM?
A%20S-danger.gif
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.


Analysis kama hizi zilikuwa zinatolewa na wagonjwa wa akili miaka ya utawala wa mwalimu...sitegemei mtu mwenye akili timamu aseme kuwa CDM umaarufu wake unashuka,au aseme CCM inapaa kwasasa..inahitaji uwe kichaa au mwendawazimu kutoa maoni kama hayo.....
 
cra.p cra.

cra.p cra.p
cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

 
,,kwel mpe kichaa nafasi ya kuandika ndo utajua ugonjwa wake umefikia hatua gani....
 
Mkuu Ritz unayaonaje maoni ya wadau?

Maoni ya wadau nimeyaona yamejaa ushabiki kama kawaida Pro-Chadema JF ni kufuata mkumbo tu, na hii ni mbaya mwisho wa siku baada ya matokeo kutangazwa watakuambia wameibiwa kura, watakubaliana na maisha yanaendelea kama kawaida.
 
cra.p cra.

cra.p cra.p
cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p

cra.p cra.p


Mtu kama huyu ndio tegemeo la Chadema, inasikitisha kwa kweli. Tujadili hoja sio kujadili vihoja.
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

Hahahahaaah!! Huo ni mtazamo wako braza Ritz..
 
Huna jipya CHADEMA IS ANOTHER LEVER huwezi kuilinganisha na magamba

Silinganishi inawezekana Chadema mpo juu, lakini hoja yenu ya ufisadi imekosa mvuto inabidi mjipange mje na falsafa mpya! Sera zenu ni nini, Wananchi wanataka kujua, sio kila mtu hakiwa na mtizamo tofauti na Chadema basi ni fisadi.
 
Ilianza NCCR - Mageuzi ya Mrema wakati huo, Ikaja CUF na sasa CHADEMA. Vyote vinaibuka na kuzama CCM iko pale pale, upinzani wa kibongo bana!

VGL...nafikiri kihistoria iko hivyo but now days iko differ...conscioussness ya majority ni kubwa xana an politics ya 95 haiendani mazingira ya watanzania wa sasa....ukifanya vizuri watu wanakupenda bila kujali chama....
 
Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii.

Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia.

Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini.

Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto.

Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.

Lazima upate ahueni kwa Chadema kwa kuwa umenusurika kudaiwa pesa za EPA na unadunda tu mtaani, fisadi mwenzao wewe hao magamba
 
Back
Top Bottom