CHADEMA & CCM Jiangalieni!


Cha kusema nimeshakisema ila unajivua ufahamu kuhusu content iliyopo kwenye post yangu.
Nachomaanisha, kilichosemwa na shibuda pamoja na nassary ni vidogo sana kufananisha na yaliyosemwa na wana CCM (lowasa, beno malissa n.k) hasa ukizingatia wewe ni mwana ccm ni bora ujadili makubwa ya chama chenu alafu ndo ujadili madogo ya chadema that why nimekusisitiza ujaribu kuzima moto mkubwa unaoteketeza nyumba yako kabla ya kwenda kutoa precaution kwa jirani yako kuwa ajihadhari na moto ambao bado hujaanza kuteketeza nyumba yake.
Mkuu tunafata ushauri wa mtu aliyeonyesha mfano kwake, sasa kuna haja gani ya kukimbilia ya watu while yako yanakuendea vibaya??

- Great Thinker, fungue thread ya mambo ya Lowassa na Beno, hapa ni Nassari na Shibuda una hoja sana ila sio pahali pake!


William.
 
- Hoja yake ni kwamba kuna tatizo katika njia ya kutafuta mgombea urais huko upande wa pili, tuachane na yeye kama Shibuda!


William.

Mbona wakati bado?hilo tatizo kalionaje?alipokuwa ccm aliwahi kutoa kauli kama hii,muda ulipofika akachukua form ya ubunge,je ccm nao ni wakanda??
 
Do we have politicians who want to read every message between the lines?
 
- In the big picture Shibuda ana tatizo na establishment na njia inayotumiuka kumtafuta mgombea wa urais huko!

William.

huna jipya willy mutuz,naona unamchomea utambi Nassari ashughulikiwe ilhali ulimuomba kura dom na ukajenga ushkaji nae.willy mwanasiasa aina yako hatufai..really
 
huna jipya willy mutuz,naona unamchomea utambi Nassari ashughulikiwe ilhali ulimuomba kura dom na ukajenga ushkaji nae.willy mwanasiasa aina yako hatufai..really

Really hatutaki mnafiki awe kiongozi kwan ipo siku anaweza akatuuza hata somalia na hivi ni mbeba cargo kwenye meli. Gosh...
 
huna jipya willy mutuz,naona unamchomea utambi Nassari ashughulikiwe ilhali ulimuomba kura dom na ukajenga ushkaji nae.willy mwanasiasa aina yako hatufai..really

- Mh. Nassari is my good friend sana na I respect him a lot, ninachosema ni CCM kusoma between the lines ya hoja yake ili tusirudie ya Muungano na katiba, tungekubali mapema sasa hivi tungekwua mbali sana!


William.
 
Really hatutaki mnafiki awe kiongozi kwan ipo siku anaweza akatuuza hata somalia na hivi ni mbeba cargo kwenye meli. Gosh...

- Bro. Meli zote za kmataifa zina machine za kubebea cargo, mimi nilikuwa ninafanya kazi kwenye meli ya kubeba Udongo wa Coal, sasa hakuna binadam anaweza kubebab Coal mgongoni mwake, tumia akili kidogo sana tu! ha! ha! ha!

- Ni kawaida ya mlevi kuamini wengine wote ni walevi, so is mnafiki!

William.
 
- Great Thinker, unasema Chadema wakishindwa Urais huwa wanakaa miezi sita bila kuongea siasa? Is that so? ha! ha! ha! ha!


William.

Miongoni mwa vilivyokuponza uchaguzi wa ubunge wa isti afrika ni hizo ha! ha! ha!
Wewe ni mgeni kwenye siasa, unachojua ni shift za melini, umepigwa doro kizunguzungu kinakutesa. Sijashauri chama, nimemshauri william malechela!!!
 
- Bro. Meli zote za kmataifa zina machine za kubebea cargo, mimi nilikuwa ninafanya kazi kwenye meli ya kubeba Udongo wa Coal, sasa hakuna binadam anaweza kubebab Coal mgongoni mwake, tumia akili kidogo sana tu! ha! ha! ha!

- Ni kawaida ya mlevi kuamini wengine wote ni walevi, so is mnafiki!

William.

kaka umemaliza unfairly.....labda alikuwa anamaamisha manua lbour ktk meli ambazo si lazima zote zihitaji lift.katika meli kuna huduma haramu nyingi...achilia mbali hizo zotolewazo na victim wa human trafficking au hata zisizo na mikataba halali.Tena za mizigo na cruise vessels ndio zina mazingira stawishi ya unyonyaji.Wewe ni mambo safi labda ajira yako na mmiliki wa meli ulizofanya alikuwa anafuata mambo mengi ya msingi katika sheria za kimataifa.Au hata kuna mambo hukuona haja ya kuyatazama na hivyo hukuona.
Ukirelax kidogo views zako kwa industry ya maritime utaweza ona pa kueleweshana na huyu jamaa.Kuna mifano mingi, wabunge wengi wanakaa dar ila kuna taabu nyingi sana wanaziona njiani mpaka wanapofika dodoma ila wengine hawajaziona kabisa au hata kujiuliza kitu kwa watu hao, wengine wandhani hao watu wanastahili kwa vile waliumbwa vile au ni makosa yao, wengine wanaamini si kila mtu anaweza kuwa na maisha kwani kila mtu akiwa na pesa watu hawatafanya kazi na upotofu mwingine.

Naomba usiwe km Kikwete pale Slaa alipowashangaa watu wa Chalinze ambao rais kwa miaka yote akiwa mbunge na waziri, na hata rais kwa kipindi kimoja hajafanya mabadiliko na sasa hata nguo hawana zaidi ya Tsh an kanga za CCM akaendelea kusema kusema picture zilizobandikwa ktk milango ya vile vibanda gharama ni kubwa kuliko mlano.Rais hakuongelea kitu sijui hakuwa ameliona, au alidhika kwa hilo au lah..Nakumbuka nilikuwa njiani kuelekea arusha na niliweza ona picture kubwa na za quality ya juu ktk vibanda vya nyasi na milango bamboo.Niliona ukweli ,nililia sikuelewa ni kwanini rais na kuona kote mbali, na ukaribu uliopa na jiji kashindwa hamasisha maendeleo? au anaamini kuwa yeye ndiye alisahili?Na yeye kukaa nao kipindi cha kura, matambiko, au hata sikuu za kidini kunatosha?
Rais hakuhitaji wapendelea na kuwapelekea hela za watanzania wengine, kwa ni vibaya na km wamedhoofishwa kifikra na kiutamaduni bado wanaweza pewa kila kitu ila over time favour zikisha bado watapitwa tena na wachapakazi.
Kaskazini si kuwa walipendwa na kubebwa sana km inavyoweza fikiriwa ila ni spirit yao na tamaduni zao .Kilimanjaro ni ndogo sana na wachaga ni sehemu ndogo sana ya watu wa mkoa mzima unaojumuisha na jamii za wapare, wamasai na waamiaji wengine ila wamekuwa na mafanikio ktk mazingira adui.Hawana viwanda, hawana ardhi, hawaruhusiwi kuongelea urais ktk CCM, wakienda mikoa mingine hupokelea na kebehi na kejeli ila muda si mrefu wanaona opportunities na kuwa key players.

So kaka hayo maelezo ni kutaka kukumbusha km kiongozi jinsi gani unaweza angalia namna ya kujibu hoja ukijua kuna maelezo mbadala hasa ukiwa umepata kuwepo ktk mazingira ambayo wengine hawakupata kufikia hapo ulipo.Waliopitia mazingira km yako huwa si rahisi kuona vitu ktk mazingira yao.Rais hajawahi ona sehemu duniani iliyozidi chalinze ndio maana, hakuweza kuja na wazo mbadala kabla hata ya kuwa rais.
Ndio maana mimi naweza kuwa nakupenda sana ila kura yangu mikampa Lema au hata Sugu.Kwa vile route zao na waliyoyafanya na wanayoweza fanya kwa muda muafaka, ni ndoto wengi wanaoitwa madokta hata mprof. Tanzania.Sitaki ucheke km ulivyocheka ktk thread kuhusu Sugu, Lema,Mnyika, Zito na wengine ktk CDM.Sipendi ucheke km kicheko cha Pinda kabla ya kujibu maswali ya papo kwa hapo ya wapinzani halafu baadaye kujikuta na maswali km ya Mbowe (Nilimuonea huruma kwani baada ya jibu la dharau na kicheko,swali lililofuata waziri mkuu akwa kituko).But napenda kuhakikishia kuwa ukiwa unawafuata vizuri hawa vijana hata kwa siri huku ukiwa CCM au hata nje utafanikiwa sana. Sugu kapita route ambayo sidhani km ungepita bila ku give in, Zito na Mnyika walikuwa na vision na wala siiti ndoto kwani walikuwa na hakika kuwa CDM ndicho chama chao.Kipindi hicho CDM hata wakipita huwezi geuka.

Hawa ndio wanaweza sema ktk miaka 20 ijayo tunaweza kuwa na mikoa mingapi iliyozidi dar kimaendeleo na nikawa na ujasiri kuweka dau.JIFUNZE KUWA NA ALTERNATIVE SOLUTION NA KUPATA BIGGER PICTURE KTK MATAMSHI YA WATU
 
  • Thanks
Reactions: ral
- Hoja yake ni kwamba kuna tatizo katika njia ya kutafuta mgombea urais huko upande wa pili, tuachane na yeye kama Shibuda!

William.

- Tukiachana na Shibuda, bado hoja yake inajadilika iwe CCM iwe ndani ya CDM, hoja yake inajadilika!

William. William sijaelewa hasa unataka kujadili nini? Kwamba kuna tatizo la-kuteua mgombea "upande wa pili"? Wewe umedhibitishaje hilo? Is it through Shibuda au unautafiti wako peke yako? Hoja yako imeanza kama vile unaona umuhimu wa kujadili kauli ya Shibuda; then unasema tuachane na Shibuda lakini hoja inajadilika!!?? Je hiki kimeonwa na watu wa upande huo au wenye mpango wa kujiunga huko pia au ni wewe, Shibuda & co? What if majority wa upande huo wakisema hamna tatizo then will you still hold on on Shibuda's argument? However if there is a concrete evidence to support your argument other than "Shibuda " I think it is worth for CDM members kuliangalia hili.
Personally; naona kwenye issues kama hizi demokrasia ni muhimu kuzingatiwa. Let majority decide regardless of one's tribe, religion, gender etc. Kama ikitokea aliyechaguliwa na wengi ni mtu wa Kaskazini; je utamnyima nafasi kwasababu certain people have decided to run their agendas? Je ikitokea mtu kutoka kaskazini anataka kugombea uraisi CCM atanyimwa (disqualified) kwasababu ya ukaskazini wake? Hivi mnasahau kwamba kuna wa-kaskazini CCM? Tukumbuke CCM isingelaumiwa wakati wa kura za maoni kama ingeruhusu demokrasia "wanachama/wajumbe halali waamue" na si vinginevyo. Wanachama wakaishia kupiga kura za hasira kwakutoa kura kwa upinzani. Chama chochote kinapoamua kutumia ajenda ya udini, ukabila etc kinatakiwa kiwe very very careful kwasababu; kuna watu wa dini, kabila tofauti ndani ya kila chama. Things can back fire ikawa vigumu sana kujisafisha. Ni kweli kwamba; kama kunachembe chembe za ukabila, udini etc kwenye chama, ni vizuri zikadhibitiwa kabla mambo hayajaharibika. It is also fair to say; NCCR mageuzi ilikuwa na viongozi wengi sana wa kaskazini (Mrema, Lamwai, Mbatia, Edith, Ngawaia etc etc Infact wafadhili wake wengi kipindi kile walitoka kaskazini. Kinachonishangaza kwa wakati ule, no one mentioned anything. Sijajua kama ni kwavile viongozi wa juu wa vyama vingine (kikiwemo CCM) hawakutaka/penda kuongelea hili, au ni kwanini hasa? Je huu u-kaskazini umeonekana kipindi hiki tu au ni kwamba watu wanatishwa na kukua kwa kasi kwa chama fulani; au kuna watu wa kaskazini ndani ya chama tawala wameonekana kuwa tishio hivyo wanatumia ukaskazini kama ajenda? Je huko kwenye vyama vingine including CCM watu wa "kaskazini" hawaruhusiwi kugombea? Tuwe careful na mambo tunayoamua kuya-politicize, some of the buttons we are pushing will cost us dearly; and we wont be able to reverse them. Tulianza ku-entertain udini sasa imekua almost impossible ku-get rid of it.
Honestly William, una-uwezo mkubwa sana wakubadilisha mambo inside your party lakini; naona sasa umeamua kuendeleza Politiki as usual.
No offense lakini tokea uondoke at @NY, nimekua na-struggle sana na thread zako nyingi. I sincerely hope bado tuko kwenye (taifa kwanza mengine baadaye). Hii thread yako na zingine nyingi za hapa karibuni (tangia uingie Dodoma/DSM city), zimekaa mno "ki-politiki." Nashangaa ile kauli ya Nape yakusema hawezi kuhamia CDM kwasababu yeye sio Mchagga; ulinyamaza wala hukusema lolote. Kuna kauli nyingine nyingi zimetolewa na wanasiasa wa pande zote lakini naona umeamua kuchambua kuzungumzia zilizogusa interest zako. Je huu ni utaifa kwanza? Juzi juzi ulikuja na thread kwamba watu wa ukanda fulani wameanza kujupanga ndani ya CCM na pia wako upinzani etc etc. Real?
 
Tumewapuunza wote coz wamesukumwa na Jaziba kulopoka mambo ya Ovyo na watu wa OVYO wanataka tuyaone ya msingi, Hapana! Nikweli watanzania ni wapuuzi wamepuuza yote maovu ufisadi, wizi, ukabila ,ubinafsi, majungu, Udini, Ukanda, Rushwa, Dhuluma eti ni Upepo 2 unapita, Ushauri wangu Tuuchukie uovu na wafanya Uovu bila kujali tofauti zetu tutakua tumeisaidia nchi yetu.
 
CCM wamekua watalamu wa kuandaa propaganda za kuchafua na kuwagawa watu kwa manufaa yako, na bahati mbaya zaidi watanzania wamekua wakiamini hizo siasa taka, Mathalani waliahidi Kadhi ili wapate kura za waislamu, wakapata na kadhi hakuna, Wamewatumia waislamu Igunga wakachochea kura za makundi, Wakasema cuf ni chama cha kidini watu wakaamini hivo mpaka leo cuf kinajulikana hivo na akina Jusa wanaendelea kueneza siasa za Ubinafsi, now CDM ni chama cha Wachaga na wakristo na watu wa kaskazini, Vijana wa ccm Mkoa wa Pwani wakasema Haitatokea Kanda ya Kaskazini ikaongoza nchi Ccm wakakaa kimya hakuna alie kemea hilo, Nasari nae tutataka nchi yetu kama Sudan kusini Mbowe amekemea hili la Nasari Haraka,Hatima ya haya yote ni Mgawanyiko ili ccm watawale milele, Watanzania hawatakubali hili na nchi itaingia kwenye machafuko na migawanyiko mikubwa inayotokana na ccm kushindwa kutimiza ahadi na matokeo yake inatafuta ushindi kwa njia haramu za kugawa watu.
 
- Matukio ya hivi karibuni kati ya Wabunge Nassari na Shibuda, yanaleta maswali magumu sana kuliko majibu yake. Ninasema hivi CCM wasipuuze maneno ya Nassari na pia Chadema wasipuuze maneno ya Shibuda wayatafakari na kuyafanyia kazi, mifano ipo mingi sana kwa mfano kuna wakati hatukutaka kuongelea katiba wala Muungano, lakini sasa wakati umefika ambapo ukweli upo wazi kwamba tungenongea haya kule nyuma, saa hizi tungekwua mbali sana.

- So Chadema na CCM, wasiwapuuze Nassari na Shibuda, kwa sababu reading between the lines kuna ujumbe mzito wa kisiasa kwenye maneno yao.


William.
LIKE FATHER LIKE SON,HUNA SERA MPYA ZA KUWACHALENGE AKINA JOHN MALECELA HUNA JIPYA UNAGANGA NJAA YOU ARE NOT POLITICIAN NI MGANGA NJAA TU:juggle:
 
- Tukiachana na Shibuda, bado hoja yake inajadilika iwe CCM iwe ndani ya CDM, hoja yake inajadilika!

William. William sijaelewa hasa unataka kujadili nini? Kwamba kuna tatizo la-kuteua mgombea "upande wa pili"? Wewe umedhibitishaje hilo? Is it through Shibuda au unautafiti wako peke yako? Hoja yako imeanza kama vile unaona umuhimu wa kujadili kauli ya Shibuda; then unasema tuachane na Shibuda lakini hoja inajadilika!!?? Je hiki kimeonwa na watu wa upande huo au wenye mpango wa kujiunga huko pia au ni wewe, Shibuda & co? What if majority wa upande huo wakisema hamna tatizo then will you still hold on on Shibuda's argument? However if there is a concrete evidence to support your argument other than "Shibuda " I think it is worth for CDM members kuliangalia hili.
Personally; naona kwenye issues kama hizi demokrasia ni muhimu kuzingatiwa. Let majority decide regardless of one's tribe, religion, gender etc. Kama ikitokea aliyechaguliwa na wengi ni mtu wa Kaskazini; je utamnyima nafasi kwasababu certain people have decided to run their agendas? Je ikitokea mtu kutoka kaskazini anataka kugombea uraisi CCM atanyimwa (disqualified) kwasababu ya ukaskazini wake? Hivi mnasahau kwamba kuna wa-kaskazini CCM? Tukumbuke CCM isingelaumiwa wakati wa kura za maoni kama ingeruhusu demokrasia "wanachama/wajumbe halali waamue" na si vinginevyo. Wanachama wakaishia kupiga kura za hasira kwakutoa kura kwa upinzani. Chama chochote kinapoamua kutumia ajenda ya udini, ukabila etc kinatakiwa kiwe very very careful kwasababu; kuna watu wa dini, kabila tofauti ndani ya kila chama. Things can back fire ikawa vigumu sana kujisafisha. Ni kweli kwamba; kama kunachembe chembe za ukabila, udini etc kwenye chama, ni vizuri zikadhibitiwa kabla mambo hayajaharibika. It is also fair to say; NCCR mageuzi ilikuwa na viongozi wengi sana wa kaskazini (Mrema, Lamwai, Mbatia, Edith, Ngawaia etc etc Infact wafadhili wake wengi kipindi kile walitoka kaskazini. Kinachonishangaza kwa wakati ule, no one mentioned anything. Sijajua kama ni kwavile viongozi wa juu wa vyama vingine (kikiwemo CCM) hawakutaka/penda kuongelea hili, au ni kwanini hasa? Je huu u-kaskazini umeonekana kipindi hiki tu au ni kwamba watu wanatishwa na kukua kwa kasi kwa chama fulani; au kuna watu wa kaskazini ndani ya chama tawala wameonekana kuwa tishio hivyo wanatumia ukaskazini kama ajenda? Je huko kwenye vyama vingine including CCM watu wa "kaskazini" hawaruhusiwi kugombea? Tuwe careful na mambo tunayoamua kuya-politicize, some of the buttons we are pushing will cost us dearly; and we wont be able to reverse them. Tulianza ku-entertain udini sasa imekua almost impossible ku-get rid of it.
Honestly William, una-uwezo mkubwa sana wakubadilisha mambo inside your party lakini; naona sasa umeamua kuendeleza Politiki as usual.
No offense lakini tokea uondoke at @NY, nimekua na-struggle sana na thread zako nyingi. I sincerely hope bado tuko kwenye (taifa kwanza mengine baadaye). Hii thread yako na zingine nyingi za hapa karibuni (tangia uingie Dodoma/DSM city), zimekaa mno "ki-politiki." Nashangaa ile kauli ya Nape yakusema hawezi kuhamia CDM kwasababu yeye sio Mchagga; ulinyamaza wala hukusema lolote. Kuna kauli nyingine nyingi zimetolewa na wanasiasa wa pande zote lakini naona umeamua kuchambua kuzungumzia zilizogusa interest zako. Je huu ni utaifa kwanza? Juzi juzi ulikuja na thread kwamba watu wa ukanda fulani wameanza kujupanga ndani ya CCM na pia wako upinzani etc etc. Real?

- Well, sawa sawa mkuu nice nimesema behind maneno mengi empty ya Shibuda kuna hoja ya kujadiliwa na Chadema, nayo ni njia wanayotumia kutafuta mgombea wao wa Urais.

- Nape is my good friend na muda mrefu sana, aliposema hiyo kauli nilismea wazi hapa kuikata na akakubali hapa kwamba he was off the line, otherwise mimi na yeye tuna uhusiano wa kuambiana ukweli, nikikosa ananiambia na akikosa ninamuambia, kitu ambacho huko kwenu ni adimu sana hamuambiani ukweli ndio maana mnakimbilia kwenye media kama Shibuda, ndio maana ninasema kaeni chini mjadili badala ya kumtishia kumfukuza chama.


William.
 
nako cdm mijadala ipo. ndio maana kuna vikao ngazi mbalimbali

- Well, sawa sawa
mkuu nice nimesema behind maneno mengi empty ya Shibuda kuna hoja ya
kujadiliwa na Chadema, nayo ni njia wanayotumia kutafuta mgombea wao wa
Urais.

- Nape is my good friend na muda mrefu sana, aliposema hiyo kauli
nilismea wazi hapa kuikata na akakubali hapa kwamba he was off the line,
otherwise mimi na yeye tuna uhusiano wa kuambiana ukweli, nikikosa
ananiambia na akikosa ninamuambia, kitu ambacho huko kwenu ni adimu sana
hamuambiani ukweli ndio maana mnakimbilia kwenye media kama Shibuda,
ndio maana ninasema kaeni chini mjadili badala ya kumtishia kumfukuza
chama.


William.
 
- Well, sawa sawa mkuu nice nimesema behind maneno mengi empty ya Shibuda kuna hoja ya kujadiliwa na Chadema, nayo ni njia wanayotumia kutafuta mgombea wao wa Urais.

- Nape is my good friend na muda mrefu sana, aliposema hiyo kauli nilismea wazi hapa kuikata na akakubali hapa kwamba he was off the line, otherwise mimi na yeye tuna uhusiano wa kuambiana ukweli, nikikosa ananiambia na akikosa ninamuambia, kitu ambacho huko kwenu ni adimu sana hamuambiani ukweli ndio maana mnakimbilia kwenye media kama Shibuda, ndio maana ninasema kaeni chini mjadili badala ya kumtishia kumfukuza chama.


William.

William, mimi bado sina makao ndugu yangu. Siasa za Tanzania naenda nazo taratibu kwa uangalifu mkubwa. So just for the record; mimi sio CDM wala CCM, CUF, TLP etc. However; navitakia mema vyama vyote vilivyokusudia kuweka maslahi ya nchi mbele. On a separate note, hongera sana na mambo ya Kinyerezi
1W3JxAGTp52yOb1ahUek1nWlhESpYqcoliWUVk13xOZKZKxPx35EFAAAOw==
 
William, mimi bado sina makao ndugu yangu. Siasa za Tanzania naenda nazo taratibu kwa uangalifu mkubwa. So just for the record; mimi sio CDM wala CCM, CUF, TLP etc. However; navitakia mema vyama vyote vilivyokusudia kuweka maslahi ya nchi mbele. On a separate note, hongera sana na mambo ya Kinyerezi
1W3JxAGTp52yOb1ahUek1nWlhESpYqcoliWUVk13xOZKZKxPx35EFAAAOw==

- Thaanks ila ni mambo ya zamani sana I mean tokea 1995, otherwise tupo pamoja sana na ninakusikia sana!

William.
 
Back
Top Bottom