nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Wapendwa habari zenu ,nimefurahishwa sana na kauli ya mh.mbowe akimjibu nyani.wasira ,yani nimegundua viongozi wa cdm ni ma-great thinker,philosopherz,brilliant yani i dont know niwape sifa gani,nyani alitegemea kuwa cdm wangepoteza muda wao kumjibu utumbo wake ,lakini mh.mbowe akasema wao cdm -hawaongei na mbwa ila wanaongea na mfuga mbwa,hivi ungekuwa weye kama ndo wasira ungejisikiaje?