Elections 2010 Chadema biaramulo

za uraisi figure ziko karibu na hizi Chadema 28,000, CCM 20,000, hizo namba zina mamia lakini zikuweza kuzishika vizuri
 
wakuu nipo maliwatoni lakini nafuatilia hizi news.
kuna any reliable evidence jamani?????? nataka nikatishe haja nikimbilie barazani kushereheka
 
za uraisi figure ziko karibu na hizi Chadema 28,000, CCM 20,000, hizo namba zina mamia lakini zikuweza kuzishika vizuri



Kwa mwendo huu maisha bora kwa watanzania wote hayapo mbali baada ya mafisadi kushindwa!!!!!!
 
Ni jimbo la Biharamulo Magharibi.... wametangaza tangu jana limechukuliwa na CHADEMA
Jimbo la Chato pia lipo Biharamulo wamechukua CCM... John Pombe Magufuli
 
Back
Top Bottom