SPANERBOY UDZUNGWA
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 622
- 124
uchumi utakuwa kwa kasi, maisha yatakuwa bora kwa kila mtanzania i.e watu watakuwa na uwezo wa kula kuku kila siku , shehe ponda atatupwa jela, cardinal pengo kuwa waziri mkuu, walimu kulipwa milioni tatu kwa mwezi, fly overs kujengwa mpaka vijijini, train mpya ya kisasa ya umeme ya kisasa toka dsm mpaka mwanza, KIHAYA KUWA LUGHA YA TAIFA , Muungano kuvunjika rasmi na wapemba wote kunyanganywa vijiduka vyao,