William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
- Thread starter
- #101
Wachangiaji wengi wa JF ambao wanabeza CDM hua ni watu hoi sana ktk kujenga hoja na ufahamu wa mambo.... Hivi chama kilichopo madarakani Kenya kilikua na utayari lini? au vyama tofauti tofauti nchini Ghana vinawezaje kuongoza nchi yenye uchumi mkubwa km Ghana?
Au hata Mandela na ANC waliwezaje kuongoza nchi .... ? kabla ya kuchaguliwa Mandela ANC haikua hata na Mbunge mmoja....Au kwako wewe ukongwe wa chama ndio uongozi sahihi? TANU haikua kongwe ilipopokea madaraka Tanganyika au ASP ktk mapinduzi ya Zanzibar
Vizuri kwa kuchambua hoja Ya Kenya Na Ghana ni mabaya sana kupenda kupitia Ghana kunaviongozi waliuawa kikapitia kwenye kipindi kirefu cha gasia na wakabadili yama sana kwani ata vilivyochukua madaraka baada yakuvitoa vyama vikonge havikutimiza ndoto ilivyotazamiwa. Na Kenya ni kama vilevile na mwendo wa chadema nahisi ni huohuo ila ni muhimu kukipigania kiingie kwenye mamlaka ili tuingie kwenye mpito kuelekea democrasia ya kweli