ndugu inabidi ukajifunze kuandika au lugha, hebu soma hilo jibu lako, naona ndilo ambalo halina kichwa wala miguu.kweli vyama uvielewi,una chama sawa,lakini na ww pia ujielewi,umepoteza dira ujui mbele ni wapi na nyuma ni wapi,nchi hii ina vyama zaidi ya 17 ila ww mbaya wako ni chadema tu?bahati mbaya ata hiyo tread yako aijakaa sawa ni vizuri nawe pia ufanye utafiti kabla ya kuleta pumba zako