J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
Salaam kwenu wanaJF Wote popote mlipo.Nape anaotesha mbegu ya dharau dhidi ya BABA WA KAMBO.Si mara ya kwanza anaongea maneno haya.Aliwahi kusema CHADEMA imewashikisha ukuta watu wa Mwanza,kwa tafsiri ametukana mpaka kule kwa NGELEJA,MAWE MATATU,WASIRA n.k hivi Nape hapati watu wa kumshauri namna ya kuadress hasira zake?Kwani BABA WA KAMBO hafai?