Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
<br />@Nanyaro, unalofanya hapa Jamvini ni jambo la maana sana - kutoa taarifa kuhusu hali ya Arusha. Hii inauwa rumours na ningeshauri kwa kipindi hiki ambacho Arusha bado iko kwenye misukosuko basi uendelee kutoa taarifa (as events take place). <br />
<br />
Ombi langu ni moja tu na naomba ufikishe juu - WATIMUENI MADIWANI WASALITI. Watanzania tunataka uhuru na haki.basi. Hawa madiwani wameshakuwa 'contaminated' hawafai hata kidogo, na wataleta shida huko mbeleni si tu kwa chama bali kwa Taifa zima. Tanzania tumefika hapa tulipo kwa sababu ya umamluki, hatusimamii yale tunayohubiri. Hawa madiwani waliandamana na wale marehemu 3 na wahanga wengine waliojeruhiwa. Leo inakuwaje wanasema yameisha huku yale yaliyowafanya wakakaa barabarani hayajatendeka?
<br />
kamanda naamini cc itatoa taarifa mara baada ya kikao kuisha,
Haya ya Arusha ni kikundi cha wahuni wenye lengo la kuvuruga chama ila pia hawatafanikiwa,ni moja ya majaribio dhalimu ambayo kamwe hayana nafasi,na hayakubaliki