Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Kwatifuka na pikipiki nne acheni zenu nyie watu wanne ndio mnawaita waandamanaji wengi tena inawezekana mtu wa nne alikuwa kwenye foleni ya kawaida.wakuu sitawe kutuma picha wala video kwa leo ila nitafanya hivyo kesho kama ngereja ataniruhusu maana leo wakati jaribu ku-upload kwenye youtube ngereja akafanya kazi yake..maandamano yalihusisha pikipiki nne na gari moja la jamaa moja majengo ya juu kwajina ni mbuya huyu ni mtu wa bayo na katibu wakata ya kaloleni