Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Nawapongeza CDM kwa kiwango chao cha kujali matatizo ya wananchi. Kwa siku mbili CDM wamekua na ziara ya kukagua maeneo ya maafa ya mafuriko Dar es salaam pamoja na kambi za waathirika. Wakati CDM wakiongozwa na kamanda Mbowe wakitembea kwenye matope na kuingia kwenye maeneo ya majanga na kujionea hali ilivyo, CCM na serikali yake wakiongozwa na Kikwete mwenyekiti wa CCM na Presdaa wamekua wakitumia Helkopta na wakishuka ardhini basi wanaishia barabarani ambako hakuna mafuriko wala athari zozote.
Kwa hili, CDM wameujua ukweli wa mambo na ndio maana jana nimemuana kamanda mbowe akiitaka serikali kutafuta mbwa wa kunusa ama vifaa vingine ili kutafuta miili ya watu ambao bado imefukiwa chini na takatakaa.
Kwa hili, CDM wameujua ukweli wa mambo na ndio maana jana nimemuana kamanda mbowe akiitaka serikali kutafuta mbwa wa kunusa ama vifaa vingine ili kutafuta miili ya watu ambao bado imefukiwa chini na takatakaa.