Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Duh tumefika huko tena kuanza kutekana? Kuna tofauti yoyote na wale watekaji wa meli kule baharini? Nakumbuka Masabah wa CUF!imekuwa kawaida sasa, hizi mbinu za kutekana kwa vyama vya siasa, inamaanisha nini kwa siasa zetu za kibongo???