Nakupongeza kwa maneno yako kuthibitisha kuwa CHADEMA ni waroho wa madaraka ! Wabunge wote ni sawa, soma katiba na kanuni za bunge !
kweli tupu kama,kama wamepata 20% yakura wanabagua wenzao je wangeshinda si nchiyote mpk mwenyekiti wa mtaa angekua mchaga?
Najua ina kuuma ili maamuzi ya bunge yamefanyika kwa nia njema kabisa ili kuimarisha upinzani. Kuwa mpole na shirikiana na wenzako, hasira zako hazisaidii ndio yameisha tokea
kila siku nakwambia thinktwice sio kila siku kutuletea COWDUNG zako hapaCHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni
Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi
Genetic Modified Brain.... kwanini unaitetea hii mada au wewe ndiyo ThinkTwice...ninawasiwasi sana....ulikuwa wapi siku nyingi sijakupata humu na mradi wako wa mashine ya pumba
kila siku nakwambia thinktwice sio kila siku kutuletea COWDUNG zako hapa
Tupo kwenye kutetea maslahi ya wanyonge , wewe upo kwenye kutetea maslahi ya wachache wenye uchu wa madaraka aisee !
Wimbo wako mzuri, njoo nikununulie vyombo vya muziki uanzishe bendi ya kuniburudisha nyumbani kwangu na mshahara nitakulipa uutakao
Kuna majitu mengine mazezeta sana humu hata siku chadema wakiboronga yatasapot tu...we mtu mzima na akili zako unazira kikao kwa ujinga wako,mbona sasa walirudi ndani??ipo siku watawazira wake zao wanaume tuwasaidie kudadekiiiiiiiiiiiii..kama upuuzi hata ccm wanao mkubwa tu lakini running away from problems is not the way of solving them....bishana kwa hoja sio kukimbia hovyo,rotten cowards
Hapo kwa bold.. mafisadi wanakulipa kiasi gani mpaka uwe na uwezo wa wewe kulipa mtu?? Labda kama wameshakulamba hapo najua utaopoa japo kamadaraka...:coffee:
usharobaro ndo nini acha lugha za mitaani hizo
CHADEMA ni wakandamizaji wa demokrasia na wenye ubinafsi wa hali ya juu, jukumu mlilo wapa hawaliwezi ndio maana wanatoka toka ovyo bungeni. Si ajabu hata mwanachama wao wakakutosa watu wa namna hii pindi watakapo pata madaraka