CHADEMA acheni usharobaro

inawezekana ikawa ndio maoni yako. ila tambua yafuatayo ambayo umma umewezwa kupotoswa. kwa nini kanuni hazibubadilishwa 2007. CUF walikuwa na wabunge wengi miaka iliyopita ila hawakuzidi asilimia 12 ila kwa kuwa chadema mwaka 2010-15 wanawabunge 46 na vyama vingine hawajafikia ndio maana kunatokea haya. nani mroho wa madaraka wanaopinga kubadilika kwa kanuni au wanaopigania katiba ibadilike na wao wawemo.tafakari chukua hatua
 
Kwa darubini yangu ThinjTwice ni she*ani. Hautufai kanisani, msikiti, hautufai kwenye maisha
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

Nenda kabadilishe pedi ndio uje uropoke ushuzi wako...
Wenzako pedi wanabadilisha kila baada ya muda...lakini wewe imekuganda wiki sasa
 
Kabla ya kutoa hoja ebu fikiri kwanza wana JF hata kama una upenzi weka pembeni ndipo useme, na je hilo unalo taka kusema litakuwa na impact gani kwa Jamii? Hii ni Tanzania Yetu tunataka iwe na amani tena tele!!!!!!!!!!
 
CHADEMA ni wakandamizaji wa demokrasia na wenye ubinafsi wa hali ya juu, jukumu mlilo wapa hawaliwezi ndio maana wanatoka toka ovyo bungeni. Si ajabu hata mwanachama wao wakakutosa watu wa namna hii pindi watakapo pata madaraka

Utategemea nini kwa aliyechanjiwa damu ya CCM? Hata kama anakufa njaa na waliomchanjia wanakula mbele yuke yu radhi kwenda kuwaletea maji ya kunawa wakimaliza hata kama hawakuachii makombo! Au CUF wewe? Unangoja urushiwe mifupa?
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

Hapo kwenye pink fafanua ni kwa jinsi gani kuna udini na ukabila kwenye CDM? Toa mifano hai waliyoifanya ili na wengine kama mimi tujiridhishe kama kweli hiki chama ni wadini na wakabila.

 
Hapo kwenye pink fafanua ni kwa jinsi gani kuna udini na ukabila kwenye CDM? Toa mifano hai waliyoifanya ili na wengine kama mimi tujiridhishe kama kweli hiki chama ni wadini na wakabila.

Wewe upo nchi hii kweli, mbona mifano ipo wazi kabisa, yaliyotokea sumbawanga unayajua, yaliyotokea St. Joseph yanajulikana, uchaguzi viti maalum mbona uko wazi yaliyofanyika. Unahitaji tena ushahidi gani zaidi ya huo
 
Nenda kabadilishe pedi ndio uje uropoke ushuzi wako...
Wenzako pedi wanabadilisha kila baada ya muda...lakini wewe imekuganda wiki sasa

Najua ina kuuma ili maamuzi ya bunge yamefanyika kwa nia njema kabisa ili kuimarisha upinzani. Kuwa mpole na shirikiana na wenzako, hasira zako hazisaidii ndio yameisha tokea
 
hapa inaonesha ni jinsi gani ulivyo na mambo ya kiswahili hata katika hoja za misingi, nomba maana ya hilo neno hapo
mkuuu sema anautoto yaani anaonekana umri wake mdogo sana au madrasa inamsumbua!
 
Kwa darubini yangu ThinjTwice ni she*ani. Hautufai kanisani, msikiti, hautufai kwenye maisha

Acha hasira na jazba, kuwa mvumilivu na mtulivu , yameisha tokea futa machozi na tulia kama maji ya mtungini
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

WEWE umedhihirisha ya kwamba ni :
1. Mfinyu wa mawazo
2.Hauko kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali yako binafsi zaidi
3. Hauna maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unakusumbua
4. Unaweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutoitendea haki akili yako kwa maana unaitumia kwa asilimia -0.0%.
6. Kutofanya kazi zako kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu wewe ni mfinyu wa mawazo na haulitakii mema taifa hili!
 
mkuuu sema anautoto yaani anaonekana umri wake mdogo sana au madrasa inamsumbua!

Bunge limefanya maamuzi kwa hekima na busara, hatuna budi kulipongeza kwani wameona mbali na kutaka kuimarisha upinzani nchini
 
WEWE umedhihirisha ya kwamba ni :
1. Mfinyu wa mawazo
2.Hauko kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali yako binafsi zaidi
3. Hauna maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unakusumbua
4. Unaweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutoitendea haki akili yako kwa maana unaitumia kwa asilimia -0.0%.
6. Kutofanya kazi zako kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu wewe ni mfinyu wa mawazo na haulitakii mema taifa hili!

Jibu kwa hoja sio hasira na jazba. Bunge limefanya uamuzi wa busara kwa kutaka kuimarisha upinzani nchini
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi
kweli tupu kama,kama wamepata 20% yakura wanabagua wenzao je wangeshinda si nchiyote mpk mwenyekiti wa mtaa angekua mchaga?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom