Gazeti linalomilikiwa na CDM kwa mara nyingine tena toleo la leo jumapili lina taarifa yenye mwelekeo dhahiri wa kuwabeba mapacha watatu.Ni aibu kwa chama kinachojipambanua kupinga ufisadi wakati huo huo kinatumika kuwatetea wanaotuhumiwa kujihusha na ufisadi.Ningependa kunukuu baadhi ya vifungu kama ifuatavyo: Lowassa, Rostam ,waandaliwa 'ZENGWE'