Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Aliekuwa diwani Wa Chadema kata ya Kimandolu ms naibu Meya Estomi Malla amesema kuwa Chadema iache kuwadanganya wakazi wa jiji la Arusha kwamba watafanikiwa kumwondoa Meya wa jiji la Arusha bwana Gaudensi Limo.
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.
Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.
Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?