Eng Mayeye
Member
- May 23, 2011
- 37
- 1
Kwanza kabisa hauna uwezo wala haki ya kumuonya RPC wewe siyo IGP, Pili hatupendi utushirikishe watanzania wote kwe huo mpango wako wa kuondosha amani,, waliokamatwa wanahaki ya kufunguliwa mashtaka na kupandishma mahakaman kwa mujibu wa sheria. Kwa taarifa tu HAKUNA yaan nikimaanisha NEVER Raia aliye juu ya sheria. Kwahiyo futa kauli yako mara moja kabla na wewe haujafunguliwa mashtaka ya Jinai kutishia kwa maneno au kesi ya kuhamasisha na kukusudia kufanya UHAIN.