Mkandara,
Mawazo mazuri hayo.
Kuhusu Usalama wa Taifa, kwa muda mrefu sana wamekuwa wanaogopa kwamba ikiwa Zanzibar itapewa uhuru au nafasi zaidi ya kufanya wanachotaka, visiwa hivyo vitakuwa ni springboard and a haven for subversive elements who could threaten the union pamoja na usalama wa nchi. Ni sababu moja kubwa, kati ya sababu zingine, kwa nini CCM, ambacho ni chama cha Tanzania bara, have maintained a tight grip on the former island nation.
CCM wanacho sahau, au wanacho puuza makusudi, ni kwamba wakiendelea kuwakandamiza Wazanzibari, that's exactly what will happen: they will continue to infuriate Zanzibaris, and Zanzibar will become a breeding ground for the very elements the union government claims it fears.
Kuhusu vyama, ni kweli CUF hawana chochote Tanzania bara. Ni chama cha visiwani. Na CCM wanatumia mabavu tu kutawala visiwani.
Pia ni muhimu kwamba Chadema iahidi kubadili katiba ya nchi kuridhisha pande zote mbili za Muungano: bara na visiwani.
Kuhusu Zanzibar kujiunga na OIC, sioni tatizo lolote. Hata nchi nzima ikijiunga na OIC siyo tatizo. Haimanishi kwamba Tanzania will become a theocratic state - (Islamic); it will remain a secular state.
Chadema inaweza kuahidi itatimiza hayo yote kujenga msingi wa maendeleo, ambao hatuna, kuimarisha Muungano, na kuwaridhisha wananchi wa Tanzania bara na visiwani.
Mawazo mazuri hayo.
Kuhusu Usalama wa Taifa, kwa muda mrefu sana wamekuwa wanaogopa kwamba ikiwa Zanzibar itapewa uhuru au nafasi zaidi ya kufanya wanachotaka, visiwa hivyo vitakuwa ni springboard and a haven for subversive elements who could threaten the union pamoja na usalama wa nchi. Ni sababu moja kubwa, kati ya sababu zingine, kwa nini CCM, ambacho ni chama cha Tanzania bara, have maintained a tight grip on the former island nation.
CCM wanacho sahau, au wanacho puuza makusudi, ni kwamba wakiendelea kuwakandamiza Wazanzibari, that's exactly what will happen: they will continue to infuriate Zanzibaris, and Zanzibar will become a breeding ground for the very elements the union government claims it fears.
Kuhusu vyama, ni kweli CUF hawana chochote Tanzania bara. Ni chama cha visiwani. Na CCM wanatumia mabavu tu kutawala visiwani.
Pia ni muhimu kwamba Chadema iahidi kubadili katiba ya nchi kuridhisha pande zote mbili za Muungano: bara na visiwani.
Kuhusu Zanzibar kujiunga na OIC, sioni tatizo lolote. Hata nchi nzima ikijiunga na OIC siyo tatizo. Haimanishi kwamba Tanzania will become a theocratic state - (Islamic); it will remain a secular state.
Chadema inaweza kuahidi itatimiza hayo yote kujenga msingi wa maendeleo, ambao hatuna, kuimarisha Muungano, na kuwaridhisha wananchi wa Tanzania bara na visiwani.