CHADEMA 2010: Kutoka "Hapa" mpaka "kule"

Kuhusu ushauri wa magwanda, kwa kawaida Rais Mtarajiwa, Dakta Slaa, huwa hayavai. Ila kwenye ile picha ya kikao kilichomchagua agombee nimeona kama ameyavaa vile. Nakubaliana na Mwanakijiji kuwa inabidi sasa aanze kuvaa kama Rais, kuongea kama Rais, kutembea kama Rais, na kuongoza kama Rais. Akiweza kutumia mbinu hii hakika ataishangaza Tanzania kama Obama alivyoishangaza Marekani. Je, atafanya hivyo?

Wewe don't get ahead of yourself here....coz CCM's victory is a foregone conclusion. It's sad but it's true.....
 
Wewe don't get ahead of yourself here....coz CCM's victory is a foregone conclusion. It's sad but it's true.....

ulisema hivyo hivyo kuhusu mccain...halafu kumbuka katiba inaruhusu ccm kushinda viti vya ubunge na kushindwa kiti cha urais...kauli mbiu ya ushindi ni lazima sasa ni tete...wengi wameshtukizwa na kushtuka!
 
It's coming this August, stay tuned!

Bosi, mimi siafikiani na hilo wazo. Kwa sababu nadhani litaongeza mifarakano baina ya wanachama. Hebu fikiria mtu umejipinda kujenga hoja halafu badala ya kupata "Thanks" kibao watu wanabonyeza kitufe cha kuiponda hoja yako...hivi utajisikiaje kweli?

Mimi sishauri mlete hiyo kitu lakini fanyeni mnavyoona ni sawa...
 
ulisema hivyo hivyo kuhusu mccain...halafu kumbuka katiba inaruhusu ccm kushinda viti vya ubunge na kushindwa kiti cha urais...kauli mbiu ya ushindi ni lazima sasa ni tete...wengi wameshtukizwa na kushtuka!

Mazingira ya Marekani yalikuwa tofauti kabisa. Democrats hata wangeweka jiwe wangeshinda tu....

Ila si tupo hapa na Oktoba si mbali kihivyo....tutaona
 
Hapa tunaongelea uwezekano. Kitendo cha kumsimamisha Dakta Slaa kimeleta uwezekano mkubwa wa ushindi wa kiti cha Urais. Kilichobaki ni kutumia uwezekano huo kujenga uwezekano mgumu zaidi wa kushinda viti vya ubunge. Ukikokotoa sasa uwezekano wa hayo yote ni 5/10 x 2/10 = 1/10.
 
Bosi, mimi siafikiani na hilo wazo. Kwa sababu nadhani litaongeza mifarakano baina ya wanachama. Hebu fikiria mtu umejipinda kujenga hoja halafu badala ya kupata "Thanks" kibao watu wanabonyeza kitufe cha kuiponda hoja yako...hivi utajisikiaje kweli?

Mimi sishauri mlete hiyo kitu lakini fanyeni mnavyoona ni sawa...
Mbona THANKS haileti mifarakano, mimi nafikiri ni sawa tu walete hiyo SHAME, badala ya kuandika maneno ya kumuudhi zaidi mhusika unagonga Shame on you unaendelea na safari, kama na yeye anataka atarudishia sawa tu baadaye heshima itapatikana.
 
Mbona THANKS haileti mifarakano, mimi nafikiri ni sawa tu walete hiyo SHAME, badala ya kuandika maneno ya kumuudhi zaidi mhusika unagonga Shame on you unaendelea na safari, kama na yeye anataka atarudishia sawa tu baadaye heshima itapatikana.

Haya bana.....
 
Wakuu zangu,
Mimi nakubaliana na michango yenu nyote ingawa hamkupenda kuelewa upande wa pili baina yenu...nitajaribu kufafanua.

1. Nyani Ngabu anazungumzia reality ambayo haiwezi kuepukwa. Ni ukweli usiopingika kwamba CCM kwa kila hali watashinda hata kama hamtawapa kura. Hili wala tusijidanganye mapema kwani mfumo wa kiutawala wa USA ni tofauti kabisa na huu wa kwetu ambapo Marekani kuna SYSTEM juu ya vyama yaani vyama vyote vinatumikia system moja yenye dira na malengo. Hivyo haijalishi rais na wabunge wanatoka vyama gani tofauti kabisa na tanzania ambapo CCM ndiyo system yenyewe. CCM ndiyo ina control all forces of the government nakuwepo ushindani wa vyama ni formality tu.

2. Companero pia amesisitiza zaidi Dr.Slaa kuanza ku act kama rais mtarajiwa,hilo ni kweli pamoja na kwamba mavazi sii sehemu kubwa ya strategy inayotakiwa kutumika kwani unapotaka MAGEUZI ni vizuri mtarajiwa kuwa karibu na wananachi watakao kupigia kura. Suti na mavazi ya fahari huondoa maana ya mageuzi lakini magwanda kidogo yana nguvu zaidi kwa walalahoi na wakazi wa vijijini. Ndio maana wabunge wengine huko vijijini hiingia ulingoni wakivaa mavazi ya kiasili (kikabila) huku kusindikizwa na ngoma..Kiasi unajiuliza leo vipi CCM na magwanda yao ya kijani?

Muhimu zaidi ni hotuba zake na kama alivyosema Mwanakijiji - SABABU iwe ndio mahubiri makubwa ya Dr. Slaa ili kujenga NIA ya wananchi baada ya kuwa na chuki na chama CCM kwa muda mrefu. Ikumbukwe tu kwamba adui yetu sio JK hata kidogo isipokuwa system nzima inayoipa CCM mamlaka ya kuhodhi madaraka makubwa kuliko hata mihimili ya Kitaifa.

3. Ogah on the other hand kasisitiza kwamba Dr.Slaa peke yake hawezi kuleta ushindi.Hilo halina ubishi ukizingatia hoja ya Ngabu, Inatakiwa sote wana mageuzi kuhakikisha CCM watashindwa kutumia mbinu na nguvu ya system kuhakikisha ushindi hata kama watashindwa iwe ktk Ubunge au kiti cha rais. Kuiondoa CCM madarakani ni sawa na kumwondoa Kaburu kule South, hivyo Dr Slaa kukubali kwake kugombea nafasi ya Urais ichukuliwe kama ni sacrifice kwa ajili yetu sisi na sii yeye wala chama. Kugombea kwake kumekipa chama nguvu mpya na ishara ya ushindi kwa wananchi ktk majimbo toka Udiwani, Ubunge na kuwa tumaini la kuondokana na chuki ilogangamaa mioyoni mwetu.

Kinachotakiwa kwenu ni kujiunga na chama kugombea nafasi hizo kuhakikisha Chadema ina mgombea makini namaarufu ktk kila nafasi iliyopo. Nina hakika kabisa sii rahisi Dr.Slaa kumshinda JK chini ya system iliyopo lakini Dr. atawawezesha madiwani na wabunge wengi wa Chadema kupita cuchaguzi huu kama JK alivyowawezesha wabunge wa CCM mwaka 2005.

Swala la kuwepo kibofya cha SHAME sioni umuhimu wake pasipo maelezo yoyote yanayokosoa hoja. Hapa si pahala pa kusutana isipokuwa kukosoana, pongezi zinatosha.
 
Bosi, mimi siafikiani na hilo wazo. Kwa sababu nadhani litaongeza mifarakano baina ya wanachama. Hebu fikiria mtu umejipinda kujenga hoja halafu badala ya kupata "Thanks" kibao watu wanabonyeza kitufe cha kuiponda hoja yako...hivi utajisikiaje kweli?

Mimi sishauri mlete hiyo kitu lakini fanyeni mnavyoona ni sawa...

Itafanya watu wasilete hoja nyepesi nyepesi,!!!
 
kitufe cha Shame HAPANA..................

Bob,
Ndugu yangu pamoja na kuwa CCM ni mashine kubwa...........this time the machine will crash.........its for you and me to work for mabadiliko............
 
Itafanya watu wasilete hoja nyepesi nyepesi,!!!

Hoja nyepesi kwa mujibu wa nani na kipimo gani?

JF watu wanaiona imefulia sasa hivi na hii ya kuongeza kitufe cha 'shame' ndio kabisaaaaa mtazidi kufukuza watu. Shauri yenu....fanyeni mnavyopenda lakini mmeshaonywa
 
Hoja nyepesi kwa mujibu wa nani na kipimo gani?

JF watu wanaiona imefulia sasa hivi na hii ya kuongeza kitufe cha 'shame' ndio kabisaaaaa mtazidi kufukuza watu. Shauri yenu....fanyeni mnavyopenda lakini mmeshaonywa

Hoja nyepesi kwa mujibu watako bonyeza kitufu cha SHAME ON U ,kwani wanaotoa thanks ni hoja nzuri kwa mujibu wa nani.
Unauliza mkia wa mbuzi wakati **^ unauona.
 
Wewe don't get ahead of yourself here....coz CCM's victory is a foregone conclusion. It's sad but it's true.....

Well, don't deceive yourself because the bigger they are, the harder they fall .... CCM's fall is imminent come october and wow ! it,s sweet coz it's so true. How I pity the Thomases !
 
It's coming this August, stay tuned!

Miye naungana na wote waliopinga kuwekwa hicho kidubwasha cha "SHAME ON YOU" kama mnataka kuzidi kupunguza michango ya maana hapa ukumbini basi kiwekeni tu na matokeo yake mtayaona muda si mrefu. Mnaweza kabisa kubadilisha maamuzi na kukiondoa baada ya kuona negative impact yake lakini mjue wengine wakiamua kuondoka huwa hawarudi tena. Ni tahadhari tu.
 
Well, don't deceive yourself because the bigger they are, the harder they fall .... CCM's fall is imminent come october and wow, it,s sweet coz it's so true. How I pity the Thomases !

CCM ain't going nowhere anytime soon. You keep deluding yourself that CCM's fall is imminent. I hope you'll stick around until then (October) so I can say to you 'I told you so'....
 
Miye naungana na wote waliopinga kuwekwa hicho kidubwasha cha "SHAME ON YOU" kama mnataka kuzidi kupunguza michango ya maana hapa ukumbini basi kiwekeni tu na matokeo yake mtayaona muda si mrefu. Mnaweza kabisa kubadilisha maamuzi na kukiondoa baada ya kuona negative impact yake lakini mjue wengine wakiamua kuondoka huwa hawarudi tena. Ni tahadhari tu.

Wakijitusu wakiweke hicho kidubwana I'm gone for good!
 
Mkjj hongera sana nilitaka kuisoma sasa hivi lakini naona page 69 ni nyingi inabidi nitulie na niwe na muda. Nitaiprint na kuibeba kwenye kitrip changu ili niisome kwa kituo. Hongera sana Mkuu sijui hata muda huwa unaupata wapi! au mwenzetu siku yako ina 48 hours badala ya 24 hours? lol!
 
Nina imani na ubongo wa Dr. Slaa. Afanye kampeini nzuri sana kama aliyofanya Obama kwa mtindo wa Bottom-UP. Ni muhimu sana apate watu wazuri wa kutembea barabarani kumwakilisha kule chini hasa huko vijijini ambayo ndiyo stronghold ya CCM. Unfortunately, door to door campaign hapo kwetu linaweza kuwa jambo la hatari sana lakini ndivyo ambavyo watu wa Obama walikuwa wakitufanyia sisi tunaoishi kwenye strongholds za conservatives wa republican.
 
Back
Top Bottom