Katika watu ambao sijafurahi katika hili ni mimi!
Niulize kwa nini?
>>Kwanza Chad iko chini kiwango ukilinganisha na sisi kwa zaidi ya nafasi kumi!! SHANGWE YA NINI?
Pili tukumbuke kwamba tukivuka hapa tunakutana na nani? ( MOROCCO,IVORY COST) Ni kwa mantiki hiyo basi nasmea kuwa tulipaswa tushinde zaidi ya bao tatu bila! ANYWAYS hongera Stars si Mwanzo Mbaya maadamu ni Ugenini!
Tusibweteke ila tujipange sisi tumeweza wao washindwe wa nini? Tuzingatie kauli hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.