Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kwa tafsiri yangu binafsi kijana ni yule aliye na chini ya umri wa miaka 55.......................hivyo mawaziri vijana wenye kuangukia umri huo ninawagusa kwenye mada hii.................................
nimepitia kwa ukaribu sana utendaji wa mawaziri vijana ambao mteuzi wao JK aliahidi wangelikuwa chachu ya maendeleo katika serikali yake lakini kwa maoni yangu hii ni njozi pevu hadi sasa........................ni riwaya ya kufikirika na kusadikika tu lakini haina mwelekeo wa kutokea.................
Nikianza na Waziri mwandamizi Magufuli ambaye amekuwa akidai yeye ni mtekelezaji mzuri wa sheria zilizopo bila ya kujiuliza hizo sheria zimetungwa kumnufaisha nani..........................wanyonge walio wengi au mabwanyenye walio wachache.......................kwa maoni yangu kabla ya kuanza kuzipigia debe sheria zilizopo ni vyema kujiuliza ni nani ambaye ananufaika na sheria tajwa..................tukija bomoabomoa ambayo Magufuli kajizolea punjepunje za umaarufu kwa asilimia zote sheria hizo za mwaka arobaini na saba hazimjali kumboreshea mnyonge maisha bora............sasa ni za nini kwa nini zisifutwe na kutungwa sheria zenye kulinda msilahi ya wanyonge ambao mara nyingi huburuzwa na serikali yetu isiyomjali myonge huyu?
magufuli amekuwa akitoa ahadi ya kuwa sasa barabara zitamjali mwendesha baiskeli, pikipiki na mwenda kwa miguu lakini haelezei miaka yote aliyokuwa hapo wizara ya ujenzi/ miundo mbinu kwa nini hayo hayakufanyika hayo....................................cheap politician? I think so kwa sababu nimetafuta wakati ambapo Magufuli amemtetea mnyonge sijawahi kuona ila kila apatapo nafasi ya kumkandamiza mnyonge huichangamkia............kwa sababu haitishii masilahi yake binafsi.....he is definitely an opportunist in chief...........hata zile operesheni za choma nyavu mbali ya ukweli kuwa ni uchafuzi wa mazingira.........................pia zililenga kumfukarisha raia wa kawaida wakati wenye viwanda vya kuzitengeneza nyavu hizo na waagiza wa nyavu hizo toka nje wakiachwa bila ya bughudha yoyote ile.....................je huyu ni kiongozi wa kutumainiwa? Jibu langu ni la hasha....................ila kwenye nchi ya vipofu kama hii yetu............ataendelea kujizolea umaarufu siku hata siku.......................maybe we deserve the lack of quality of leadership in this country............
Nikija Ngeleja............................tangia alipoukwaa uwaziri yeye ni nishati na madini.........elimu yake ni mwanasheria ambaye kamwe hajawahi kukanyaga mahakamani......................ni ile unakusanya vyeti kwa malengo ya kujiuuza kisiasa..............uzoefu wa shughuli za sheria ni sifuri.....................kwenye nishati sifa aliyonayo ni kutongezea makali ya mgawo na ahadi kibao za kumaliza mgawo baada ya 2015.........................kwenye madini amekuwa kinara wa kutetea misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakubwa..............................tunaelewa ya kuwa mgawo wake na swahiba zake waliomteua si haba hapo.......No wonder JK is adamant that ngeleja is the best man for the job so long as he is serving his own personal interests there at the ministry..........tatizo ni kuwa hii ni dhuluma dhidi yetu...........................
Halafu dada yangu Ghasia...................................zaidi ya kuwatisha watumishi wa umma wasivujishe siri za ufisadi sikumbuki jingine ambao ametufanyia................................................
Dada yangu Professa TIbaijuka................................alianza kwa nguvu ya soda hapo ardhi............................sasa ameingia mitini akidai anaanda programu ya utekelezaji.................................nilidhani wizara inayo programu tajwa na hahitaji kuwa na yake binafsi..............vinginevyo wizara itapoteza mwelekeo wa kutegemea programu za kila waziri aingiapo pale ardhi................nionavyo ameamua kumtumikia kafiri ili apate mradi wake....................
Yupo kijana mwana wa Raisi Mstaafu Mwinyi.................pale ulinzi ni picha tu imewekwa kwa ajili ya kumshukuru Mwinyi kwa kufanikisha Project Kikwete awe Raisi...............................mabomu ya Gongo la Mboto na Mbagala..........yaliyotosha kumtupia Hussein Mwinyi virago vyake..............................lakini kwenye nchi isiyo na maadili na kumwogopa mwenyezi Mungu..........................ninasikia tetesi JK ana mkakati wa kumsimika awe Raisi wetu wa 4..........you can talk of political dynasties in TZ..........kisa ndiye anayeaaminika atalinda wezi na wabadhirifu wa mali ya umma........................na hapo siyo suala la udini hata chembe ila ushuhuda wa ufisadi............................ndilo litakalomfikisha kijana huyu huko IKULU ambako hata baba yake pamoja kuwa na kisomo haba aliweza kufika...................thanks to Nyerere's stupidity..................ya kudai hata wazanzibara wanaweza...............now we know better.......................
Yupo huyu wa maliasili na utalii...........maige............ ambaye alikwenda Ngorongoro juzi na alipokaribishwa kwa mabango ya wenyeji wakitaka abariki upendeleo wa kikabila katika ajira ya tasisi ya umma ambayo unasigina katiba yetu ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania .........yeye pamoja na kuwa aliapa kuilinda na kuitetea katiba tajwa..................ili kujipatia umaarufu wa bei chee aliwaunga mkono wakabila wale wa kimasai.................ambao wanataka shirika la umma liwaajiri wao kwa asilima 75.....................................kwa sababu wao ni wamasai tu hakuna kigezo kingine..................kama tukiruhusu ukabila ushamiri hapa nchini tujue tumekwisha kabisa...........................................kila kabila litadai taasisi za umma zilizopo kwenye maneneo yao wajazwe wao na wakuja wafukuziliwe mbali...........
Yupo huyu Waziri wa Michezo........nchimbi......... ambaye anafikiri kwa kutokea kwenye dansi mara kwa mara kama mgeni rasmi kama alivyopitia JK kuukwaa Uraisi basi na yeye atatumia zana zilezile!!!!!!!!!!!!!! Kwa kifupi hana jipya.......................ila kulinda mlo wake.....................................
yupo huyu wa kilimo................Mathayo.............ambaye wakati wa uchaguzi 2010 alikuwa kinara kumkashifu Muumba kwa kugeuza nyimbo zake takatifu kumtukuza JK pale Same..............................kwa chama ambacho kimeingia madarakani kwa kauli mbiyu ya kilimo kwanza.....................ningelimtarajia ashike bango la kuona azma hiyo inatekelezwa kwa vitendo badala ya kuwa ni baragumu la kukusanya mtaji wa kura tu..................................hadi leo sijui alichofanya.........................
Yupo huyu naibu waziri wa biashara...................alikuja na mbio za kuwafukuza wachina ambao wameitika vyema utandawazi kama sisi tulivyoitika kwa ndugu zetu wapo uchina wakifanya huohuo umachinga.................................kijana huyu ambaye amejizolea sifa kwa nukuu zake za wanafilosofia wa ng'ambo.....hana muda na wa hapa nchini......................alifanya jitihada ya kuwajengea mazingira ya kuwafukuza wachina hao ambao ndiyo wavuja jasho wasiotuibia..................................hata sumuni ile.......................................baada ya kukalishwa kikao na Balozi wa uchina....................siku hizi yuko kimya...............................alianza moto na hivi sasa amegundua kuwa hajui afanyalo...........................kwa hiyo yuko kimya.....................anaendelea kujizolea alawansi za safari za ndani ambazo tija yake inaniacha na maswali mengi..............................ingawaje ni safari za ndani..........na ninafuu zaidi ya mteuzi wake ambaye kajijengea umaarufu wa safari za ng'ambo ambazo hazina tija kwa umasikini wetu huu........................
wengine hata majina yao siyakumbuki lakini binafsi sijui ujana wao taifa hili limenufaika vipi.......................mwenye taarifa za aina yoyote ile ni vyema anifahamishe................................................
nimepitia kwa ukaribu sana utendaji wa mawaziri vijana ambao mteuzi wao JK aliahidi wangelikuwa chachu ya maendeleo katika serikali yake lakini kwa maoni yangu hii ni njozi pevu hadi sasa........................ni riwaya ya kufikirika na kusadikika tu lakini haina mwelekeo wa kutokea.................
Nikianza na Waziri mwandamizi Magufuli ambaye amekuwa akidai yeye ni mtekelezaji mzuri wa sheria zilizopo bila ya kujiuliza hizo sheria zimetungwa kumnufaisha nani..........................wanyonge walio wengi au mabwanyenye walio wachache.......................kwa maoni yangu kabla ya kuanza kuzipigia debe sheria zilizopo ni vyema kujiuliza ni nani ambaye ananufaika na sheria tajwa..................tukija bomoabomoa ambayo Magufuli kajizolea punjepunje za umaarufu kwa asilimia zote sheria hizo za mwaka arobaini na saba hazimjali kumboreshea mnyonge maisha bora............sasa ni za nini kwa nini zisifutwe na kutungwa sheria zenye kulinda msilahi ya wanyonge ambao mara nyingi huburuzwa na serikali yetu isiyomjali myonge huyu?
magufuli amekuwa akitoa ahadi ya kuwa sasa barabara zitamjali mwendesha baiskeli, pikipiki na mwenda kwa miguu lakini haelezei miaka yote aliyokuwa hapo wizara ya ujenzi/ miundo mbinu kwa nini hayo hayakufanyika hayo....................................cheap politician? I think so kwa sababu nimetafuta wakati ambapo Magufuli amemtetea mnyonge sijawahi kuona ila kila apatapo nafasi ya kumkandamiza mnyonge huichangamkia............kwa sababu haitishii masilahi yake binafsi.....he is definitely an opportunist in chief...........hata zile operesheni za choma nyavu mbali ya ukweli kuwa ni uchafuzi wa mazingira.........................pia zililenga kumfukarisha raia wa kawaida wakati wenye viwanda vya kuzitengeneza nyavu hizo na waagiza wa nyavu hizo toka nje wakiachwa bila ya bughudha yoyote ile.....................je huyu ni kiongozi wa kutumainiwa? Jibu langu ni la hasha....................ila kwenye nchi ya vipofu kama hii yetu............ataendelea kujizolea umaarufu siku hata siku.......................maybe we deserve the lack of quality of leadership in this country............
Nikija Ngeleja............................tangia alipoukwaa uwaziri yeye ni nishati na madini.........elimu yake ni mwanasheria ambaye kamwe hajawahi kukanyaga mahakamani......................ni ile unakusanya vyeti kwa malengo ya kujiuuza kisiasa..............uzoefu wa shughuli za sheria ni sifuri.....................kwenye nishati sifa aliyonayo ni kutongezea makali ya mgawo na ahadi kibao za kumaliza mgawo baada ya 2015.........................kwenye madini amekuwa kinara wa kutetea misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakubwa..............................tunaelewa ya kuwa mgawo wake na swahiba zake waliomteua si haba hapo.......No wonder JK is adamant that ngeleja is the best man for the job so long as he is serving his own personal interests there at the ministry..........tatizo ni kuwa hii ni dhuluma dhidi yetu...........................
Halafu dada yangu Ghasia...................................zaidi ya kuwatisha watumishi wa umma wasivujishe siri za ufisadi sikumbuki jingine ambao ametufanyia................................................
Dada yangu Professa TIbaijuka................................alianza kwa nguvu ya soda hapo ardhi............................sasa ameingia mitini akidai anaanda programu ya utekelezaji.................................nilidhani wizara inayo programu tajwa na hahitaji kuwa na yake binafsi..............vinginevyo wizara itapoteza mwelekeo wa kutegemea programu za kila waziri aingiapo pale ardhi................nionavyo ameamua kumtumikia kafiri ili apate mradi wake....................
Yupo kijana mwana wa Raisi Mstaafu Mwinyi.................pale ulinzi ni picha tu imewekwa kwa ajili ya kumshukuru Mwinyi kwa kufanikisha Project Kikwete awe Raisi...............................mabomu ya Gongo la Mboto na Mbagala..........yaliyotosha kumtupia Hussein Mwinyi virago vyake..............................lakini kwenye nchi isiyo na maadili na kumwogopa mwenyezi Mungu..........................ninasikia tetesi JK ana mkakati wa kumsimika awe Raisi wetu wa 4..........you can talk of political dynasties in TZ..........kisa ndiye anayeaaminika atalinda wezi na wabadhirifu wa mali ya umma........................na hapo siyo suala la udini hata chembe ila ushuhuda wa ufisadi............................ndilo litakalomfikisha kijana huyu huko IKULU ambako hata baba yake pamoja kuwa na kisomo haba aliweza kufika...................thanks to Nyerere's stupidity..................ya kudai hata wazanzibara wanaweza...............now we know better.......................
Yupo huyu wa maliasili na utalii...........maige............ ambaye alikwenda Ngorongoro juzi na alipokaribishwa kwa mabango ya wenyeji wakitaka abariki upendeleo wa kikabila katika ajira ya tasisi ya umma ambayo unasigina katiba yetu ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania .........yeye pamoja na kuwa aliapa kuilinda na kuitetea katiba tajwa..................ili kujipatia umaarufu wa bei chee aliwaunga mkono wakabila wale wa kimasai.................ambao wanataka shirika la umma liwaajiri wao kwa asilima 75.....................................kwa sababu wao ni wamasai tu hakuna kigezo kingine..................kama tukiruhusu ukabila ushamiri hapa nchini tujue tumekwisha kabisa...........................................kila kabila litadai taasisi za umma zilizopo kwenye maneneo yao wajazwe wao na wakuja wafukuziliwe mbali...........
Yupo huyu Waziri wa Michezo........nchimbi......... ambaye anafikiri kwa kutokea kwenye dansi mara kwa mara kama mgeni rasmi kama alivyopitia JK kuukwaa Uraisi basi na yeye atatumia zana zilezile!!!!!!!!!!!!!! Kwa kifupi hana jipya.......................ila kulinda mlo wake.....................................
yupo huyu wa kilimo................Mathayo.............ambaye wakati wa uchaguzi 2010 alikuwa kinara kumkashifu Muumba kwa kugeuza nyimbo zake takatifu kumtukuza JK pale Same..............................kwa chama ambacho kimeingia madarakani kwa kauli mbiyu ya kilimo kwanza.....................ningelimtarajia ashike bango la kuona azma hiyo inatekelezwa kwa vitendo badala ya kuwa ni baragumu la kukusanya mtaji wa kura tu..................................hadi leo sijui alichofanya.........................
Yupo huyu naibu waziri wa biashara...................alikuja na mbio za kuwafukuza wachina ambao wameitika vyema utandawazi kama sisi tulivyoitika kwa ndugu zetu wapo uchina wakifanya huohuo umachinga.................................kijana huyu ambaye amejizolea sifa kwa nukuu zake za wanafilosofia wa ng'ambo.....hana muda na wa hapa nchini......................alifanya jitihada ya kuwajengea mazingira ya kuwafukuza wachina hao ambao ndiyo wavuja jasho wasiotuibia..................................hata sumuni ile.......................................baada ya kukalishwa kikao na Balozi wa uchina....................siku hizi yuko kimya...............................alianza moto na hivi sasa amegundua kuwa hajui afanyalo...........................kwa hiyo yuko kimya.....................anaendelea kujizolea alawansi za safari za ndani ambazo tija yake inaniacha na maswali mengi..............................ingawaje ni safari za ndani..........na ninafuu zaidi ya mteuzi wake ambaye kajijengea umaarufu wa safari za ng'ambo ambazo hazina tija kwa umasikini wetu huu........................
wengine hata majina yao siyakumbuki lakini binafsi sijui ujana wao taifa hili limenufaika vipi.......................mwenye taarifa za aina yoyote ile ni vyema anifahamishe................................................