cha kurithi kinakuwa na nyongeza????

Lady N

JF-Expert Member
Nov 1, 2009
1,914
131
Kwa mujibu wa historia niliosoma o-level na shule ya msingi pia, dini ililetwa na ndugu zetu wazungu enzi hizo,
swali langu ni hivi, wao waliotulea dini ndoa zao hazina ugumu kwenye divorce hata kama ni za kanisani, sisi tuliopokea dini tunakomaa na "alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe" wakuu nisaidieni mawazo, hii mnaionaje?
 
C kama wafuasi wa CCM, walionzisha chama wanachukizwa nacho ila wafuasi waliokipokea huwaambii kitu! Ni uelewa mdogo, na kufundishwa kupokea tu bila ya kutafakari kwa kina! hawa makasisi wetu wanatupa dozi nyingi isoyomwezesha mpokeaji kufikiri kwa undani, ila nafikri ni swala na muda tu hata sisi waafrika tutafikia huko kwa wenzetu.
 
C kama wafuasi wa CCM, walionzisha chama wanachukizwa nacho ila wafuasi waliokipokea huwaambii kitu! Ni uelewa mdogo, na kufundishwa kupokea tu bila ya kutafakari kwa kina! hawa makasisi wetu wanatupa dozi nyingi isoyomwezesha mpokeaji kufikiri kwa undani, ila nafikri ni swala na muda tu hata sisi waafrika tutafikia huko kwa wenzetu.
it sound gud hapo kwenye red na muda wenyewe nahisi ndio unakaribia maana kwa mienendo ya ndoa zetu za sasa ni hatari tupu!
 
mmmh my dia mm naona kama mapenzi yameisha yameisha tu,hata msipo andikishana au muandikishane mbele ya papa!Tumepokea dini sasa ndoa nyingi si zile za mume/mke mwema hutoka kwa bwana bali ni kucopy na kupaste tu!naamini ukimshirikisha Mungu kabla mambo hayata kuwa tofauti lkn pia ktk kumshirikisha Mungu kuna hitaji uweza wa roho mtakatifu,unaweza kumshirikisha Mungu ukajibiwa na shetani zen letaz unamlaumu Mungu!mambo haya bana yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu na kuomba kwli kwa kumaanisha,si kukurupika,remembre the word"FOR BETA OR FOR WORSE,TILL DEATH DO US PAT"
 
mmmh my dia mm naona kama mapenzi yameisha yameisha tu,hata msipo andikishana au muandikishane mbele ya papa!
na yameisha kweli, ni wachache sana wanaopenda kwa dhati,
me nimejiuliza sana tuu wakati wa divorce kwa walewaliofunga ndoa church wanatumia Bible tofauti na yetu?
 
Mimi mara nyingi hujiuliza kabla kuja kwa Mzungu/Mwarabu, sisi waafrika hatukuwa na dini zetu??, Ni hizo dini zetu ziltuasi nini kwa mambo ya ndoa?, Kuuliza hivi ni kwa sababu..wakati wa mababu zetu, mwanaume alikuwa anao zaidi ya mke mmoja, kulingana na uwezo wake. Wako wengi nafikiri walikufa wakiwa na wake moja moja. Kaja mzungu , ooohh tuombe fungeni macho, tukifungua macho....mashamba yashakwenda. Mzungu na mwarabu alitufundisha DINI, lakini woote hawa hawafuati hizo dini wenyeweeee!!!!

Suluhisho ni kufuata dini......(Fuata uambiwayo, sio uonayoooo!!!!)
 
Kama hakuna mapenzi, hata hiyo ndoa haitokuwapo... hizo nyingine ni taratibu tu!!!!
 
dini yenyewe naona kama hatuilewi vizuri.hyo dini kwenye vitabu utakuta watume wa zamani kama kina abraham na wengine walioa wake zaidi ya mmoja
 
Mimi mara nyingi hujiuliza kabla kuja kwa Mzungu/Mwarabu, sisi waafrika hatukuwa na dini zetu??, Ni hizo dini zetu ziltuasi nini kwa mambo ya ndoa?, Kuuliza hivi ni kwa sababu..wakati wa mababu zetu, mwanaume alikuwa anao zaidi ya mke mmoja, kulingana na uwezo wake. Wako wengi nafikiri walikufa wakiwa na wake moja moja. Kaja mzungu , ooohh tuombe fungeni macho, tukifungua macho....mashamba yashakwenda. Mzungu na mwarabu alitufundisha DINI, lakini woote hawa hawafuati hizo dini wenyeweeee!!!!

Suluhisho ni kufuata dini......(Fuata uambiwayo, sio uonayoooo!!!!)

teh teh teheeeeh! umenichekesha kweli hapo kwenye bold

me nilifikiri niko mwenyewe mwenye kujiuliza ili swali1
 
Kama hakuna mapenzi, hata hiyo ndoa haitokuwapo... hizo nyingine ni taratibu tu!!!!
ninayajua yote hayo ila kwa mujibu wa taraibu zetu za dini esp ya kikristo, ukishafunga ndoa ndio basi, huwezi kufunga tena, hata mkitengana labda afe.
 
vipi lady N mara wadai talaka??ha ha ha makanisa hayaruhu hilo vumilia tuuuu my dea,akirudi saa sita usiku sawa tu mume wa ndoa, awe na infi wewe ng'ang'ana, akikuletea ukimwi ndio utajua kama ushike dini ama au uchape lapa! am not against the idea of one man to one woman ya makanisa but dahhhhh life imebadilika sana too many lies btn marriage couples...mimi hofu yangu ni :kev: hili swala HIV na swala la hadi kifo kitutenganishe ...,sipati picha unajua
 
Kwa mujibu wa historia niliosoma o-level na shule ya msingi pia, dini ililetwa na ndugu zetu wazungu enzi hizo,
swali langu ni hivi, wao waliotulea dini ndoa zao hazina ugumu kwenye divorce hata kama ni za kanisani, sisi tuliopokea dini tunakomaa na "alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe" wakuu nisaidieni mawazo, hii mnaionaje?


Ni swali zuri sana hili maana kwenye nchi za wenzetu hiki (divorce) ni kitu cha kawaida sana lakini kwetu hapo kwenye nyekundu ndiyo pana nguvu sana.
 
Lady N pole kwa matatizo, Jribu kurudisha moyo nyuma na wala usiwaze hizo Divorce
kwa kifupi hao waliotuletea dini kwao hawana tena hizo dini, yamebakia majina tu, lakini kwa Africa bado tuna imani hivyo kidogo itachukua muda, ingawa kwa sasa inafanyika kimyakimya, utakuta mtu na mkewe wapo pamoja kama show off lakini nyuma ya pazia kila mtu na lwake, na hii yote mara nyingi inatokana watu kukwepa majukumu yao
KAMA MWANAMKE ANASIMAMA KWENYE MAJUKUMU YAKE YA UANAMKE NA MWANAMUME ASIMAME KWENYE MAJUKUMU YAKE (YA ASILI), HAKUNA NDOA INAYOWEZA KUVUNJIKA
 
Wanandoa wote wawili wakifuata maadili ya dini vizuri (iwe ya kimila, kikristu , kiislamu au nyingineyo) wataishi vizuri. Hawatapata hitaji la kuvunja ndoa. Tabu yetu ni kufuata dini nusunusu.
 
Back
Top Bottom