Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
Kwa mujibu wa historia niliosoma o-level na shule ya msingi pia, dini ililetwa na ndugu zetu wazungu enzi hizo,
swali langu ni hivi, wao waliotulea dini ndoa zao hazina ugumu kwenye divorce hata kama ni za kanisani, sisi tuliopokea dini tunakomaa na "alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe" wakuu nisaidieni mawazo, hii mnaionaje?
swali langu ni hivi, wao waliotulea dini ndoa zao hazina ugumu kwenye divorce hata kama ni za kanisani, sisi tuliopokea dini tunakomaa na "alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe" wakuu nisaidieni mawazo, hii mnaionaje?