sasa cha ajabu nini....toa pen endelea na 50 zako....halafu usizoee sana kuingia kwenye pochi za kina dada.....
Wapendwa katika pilika za kutafuta pen kwa room yangu..nikaamua kufungua pochi ya shemeji/wifi yenu...tobaa nimekutana na cha Arusha!!!...nimedata nisaidieni....
ukiendlea hvyo na siku nyingine utakuta k-y gell!:A S kiss:
Ni kinini hicho cha Arusha
Tena ukimzingua anavuta then anakuweka sawa lol lazma ujute kumfahamu..
Mpaka hapa najuta kumfaham......