Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
khee kumbe Zuma wa zamani hivi ..lakini ng'ombe hazeeeki maini..hivi huyu wa kwetu ana ngapi?khaa 60 kwa hiyo akikutana na obama ,obama anamuamkia shkamooo halafu anamuomba msaada
Sijasikia sehemu yoyote katika hotuba za Slaa akizungumzia suala la kuomba misaada.Amezungumzia kupunguza ukubwa wa serikali,kusimamia rasilimali,ukusanywaji mapato,uboreshaji wa mazingira kwa mtanzania wa kawaida aweze kujiajiri n.k. Hayo ndiyo mambo ya msingi ambayo yataifanya nchi iwe inajitegemea,kama wataleta msaada walete,uhusiano na usa au nchi nyingine yoyote utakuwa ni wakuzinufaisha nchi zote mbili,si danganya toto.Hiyo ndiyo misingi inayotakiwa kwa miaka mitano ijayo.hilo la misaada sijalisikia.