CEO wa Stanbic Tanzania....

Sawa AD nimekupata.
Lakini najiuliza kitu kimaoja. Kuna wabongo wengi sana ambao walisomea nje ya nchi na kuishi na kufanya kazi huko esp US/UK na eventually miaka ya karibuni wengi tu walirudi bongo huku wakiwa very fluent in English, highly skilled and talented in array of professions like finance, banking, IT, accounting, consulting etc Na hili ni kundi la wabongo ambao ni wachapa kazi na hawana uswahili ni kazi mtindo mmoja. Sasa hili kundi unataka kuniambia halija-break through the system kuwareplace hawa wageni?


mkuu huwezi amini
wabongo uaminifu tuko nyuma saana
kenya kwa kuwa ubepari umeanza zamani,vitu kama commissions,hisa na profit percentage
viko saana,so mtu hana sababu ya kuiba,the more you work,the bigger the comissions..or profit percentage n,k

sisi watu walisoma but system ya kijamaa ilikuwa in place
njia ya kuongeza kipato ikawa thru wizi....

kusoma nje kwani dili,mtazame andrew chenge,harvad ile but iko wapi?
 
huitaki kuomba radhi hilo linafahamika
wakenya wako more aggressive kwenye kazi na most important
wanam treat boss au mteja kama inavyopaswa

hii inatokana na kuwa private sector na ushindani kwao vilianza siku nyingi...

na umasikini kwao uko juu sana,mtu akifukuzwa kazi ni soo

sisi mtu akifukuzwa kazi anaweza kwenda kulima
kenya utalima wapi???????


Hata kama wakiwa na mahala pa kulima watalima wapi...
Kenya Wakulima in most cases ni big scale - hivo small
scale hakuna kivileee kusema wanaweza manage...
 
Mwaka jana au juzi wakati bank yake inaanzisha bidhaa ya Islamic Finance alitoa kauli moja chafu sana kuhusu idadi ya Waislam hapa Tz. Tuliokuwepo pale tukajua yuko addicted na vita vya huko kwao Somalia hivyo tukamchukulia punguani flan tu.
<br />
<br />
Mkuu chuki binafsi hizo! jitahidi ipo siku nawe utakamata kitengo kwani siri ya maisha yako ipo kwa muumba
 
mkuu huwezi amini
wabongo uaminifu tuko nyuma saana
kenya kwa kuwa ubepari umeanza zamani,vitu kama commissions,hisa na profit percentage
viko saana,so mtu hana sababu ya kuiba,the more you work,the bigger the comissions..or profit percentage n,k

sisi watu walisoma but system ya kijamaa ilikuwa in place
njia ya kuongeza kipato ikawa thru wizi....

kusoma nje kwani dili,mtazame andrew chenge,harvad ile but iko wapi?
Sikatai mkuu Boss, lakini ukumbuke hawa wabongo ninaowaongelea sio wanasiasa ni watu ambao wako ktk private sector. Most of them wamespend almost half their lives abroad na hawana mentality za wanasiasa ambao wanawaza ulaji tu. I'm so curious to know walipoamua kurudi bongo wameishia wapi?
 
In most cases kitu kibubwa nime observe ni kua (naomba mtanisamehe saaana kwa hili wajameni) Wakenya most of them wana nidhamu saana kazini kuliko Watanzania... inawezekana saana tokana na utamaduni wao wa maisha kuendesha relying completely tokana na kazi ya kuajiriwa... Wako sharp, wako very fluent katika lugha ya kuendeshea mahala pa kazi (vitu kama Barua, Mikataba, Memos, na the like - wako focused) hicho kinawafanya waonekane kama wanafaa saana kazini kuliko Watanzania... On topo of that wana roho mbaya, hamna kuoneana huruma au mambo ya kufanyia favour ovyo ovyo... Mkenya sio a reliable person kama rafiki (thou kuna exceptions....)

And of course unaelewa nature yetu Watanzania Zela... Most anafanya kazi weekend shamba... part time miradi na mambo kibao... Mie naamini saana hiio inachangia hata why Watanzania wengi hatuna nidhamu kazini... The way Watanzania weengi tuwapo kazini tunavo handle kazi zetu.. Dah! nisije vuka mpaka...

Nadhani mnaconclude mambo kwa very few facts, ungekuwa umewahi kuishi kenya ndo ungejua ukilitimba na usumbufu wa maofisi yako. Tunajudge kwa kuangalia walioko TZ, nenda kwao uone.
Pia kumbuka kuna waTZ maofisini wanachapa kazi kuliko kawaida, na idadi hiyo ni kubwa tu. Wako wazembe wengi pia lakini huwezi kufanya conclusion zako kirahisi hivo.
Comments kama hizi zimekuwa kawaida na watu wameziamini. Zitawafanya mwendelee kuwa watumwa wa fikra na kujiona wanyonge.
Acheni kudhalilishana kirahisi hivo
 
Au ndio wabongo wengi ni too much maimunas..............................halafu kila kukicha tunaendelea kukifagilia kiswahili wakati wenzetu wanalifurahia hilo manake wanatake advantage kwenye umaimuna wetu?
 
Sawa AD nimekupata.
Lakini najiuliza kitu kimaoja. Kuna wabongo wengi sana ambao walisomea nje ya nchi na kuishi na kufanya kazi huko esp US/UK na eventually miaka ya karibuni wengi tu walirudi bongo huku wakiwa very fluent in English, highly skilled and talented in array of professions like finance, banking, IT, accounting, consulting etc Na hili ni kundi la wabongo ambao ni wachapa kazi na hawana uswahili ni kazi mtindo mmoja. Sasa hili kundi unataka kuniambia halija-break through the system kuwareplace hawa wageni?


Siku zinavozidi kuenda haya mambo yanachange thou at a small pace... Wapo Watanzania wameprove kua they are Good at Work... na kazi wanayofanya kueleweka... acha tu hao walosome nje, kuna wengine wamesoma hapa hapa.... Great schools and wako fluent kabisa... Kitu kingine nacho ni intelligence, unajua ukiwa katika unfavourable conditions inafanya akili iwe sharpened na hizo circumstances.... Watu wengi hawajui kua intelliegence ya mtu haijengwi tu kwa kushikilia ama kufuatilia eneo lake la uzoefu au sector.... A person has to go beyond that-- vitu kama Current issues pia husaidia saana kazini (knowledge is power and in most cases you can apply what you know in ways you never thought possible).. Watanzania hatuna hio kitu - nayo ndio inakuja/kua sasa at a small pace pia....
 
Sikatai mkuu Boss, lakini ukumbuke hawa wabongo ninaowaongelea sio wanasiasa ni watu ambao wako ktk private sector. Most of them wamespend almost half their lives abroad na hawana mentality za wanasiasa ambao wanawaza ulaji tu. I'm so curious to know walipoamua kurudi bongo wameishia wapi?

mkuu sijui nikujibu vipi
sio kwamba hakuna watanzania kama wakenya au better
wapo wengi tu,tena humo humo....mfano barclays kuna watz wengi tu
akiba cormeciall,nmb na kadhalika.....

but ukiweka idadi mfano katika wakenya kumi na watanzania kumi
kundi lipi wengi wao ni wachapa kazi na wana discipline ya kazi
wakenya wanakuwa zaidi
ingawa kwa mtu moja moja unaweza kukuta the best three perfomer ni watanzania
but the rest seven kwenye top ten ni wakenya....

why? i think competitive culture kwao ni strong......
 
Au ndio wabongo wengi ni too much maimunas..............................halafu kila kukicha tunaendelea kukifagilia kiswahili wakati wenzetu wanalifurahia hilo manake wanatake advantage kwenye umaimuna wetu?

kiingeraza sio ishu mkuu
ishu ni general knowledge tuko nyuma
 
Siku zinavozidi kuenda haya mambo yanachange thou at a small pace... Wapo Watanzania wameprove kua they are Good at Work... na kazi wanayofanya kueleweka... acha tu hao walosome nje, kuna wengine wamesoma hapa hapa.... Great schools and wako fluent kabisa... Kitu kingine nacho ni intelligence, unajua ukiwa katika unfavourable conditions inafanya akili iwe sharpened na hizo circumstances.... Watu wengi hawajui kua intelliegence ya mtu haijengwi tu kwa kushikilia ama kufuatilia eneo lake la uzoefu au sector.... A person has to go beyond that-- vitu kama Current issues pia husaidia saana kazini (knowledge is power and in most cases you can apply what you know in ways you never thought possible).. Watanzania hatuna hio kitu - nayo ndio inakuja/kua sasa at a small pace pia....
Sawa.
Swali: Ughaibuni mbona makazini (I'm talking about corporate America), mbona wakenya ni weupee tuuu na ni wa kawaida sana kulinganisha na wabongo? What's the big deal nyumbani?
 
Nadhani mnaconclude mambo kwa very few facts, ungekuwa umewahi kuishi kenya ndo ungejua ukilitimba na usumbufu wa maofisi yako. Tunajudge kwa kuangalia walioko TZ, nenda kwao uone.
Pia kumbuka kuna waTZ maofisini wanachapa kazi kuliko kawaida, na idadi hiyo ni kubwa tu. Wako wazembe wengi pia lakini huwezi kufanya conclusion zako kirahisi hivo.
Comments kama hizi zimekuwa kawaida na watu wameziamini. Zitawafanya mwendelee kuwa watumwa wa fikra na kujiona wanyonge.
Acheni kudhalilishana kirahisi hivo


One thing you should note... I have not concluded Mkuu bali nime presume.... Nilicho ongea sijaongea toka hewani... Nimefika Kenya na hua naenda huko once in a while... thou ni miji miwili tu (Mombasa na Nairobi) nafikiri inatosha mie kuelewa hata kama at minima... Hata hivo hapa tunazungumzia walo kuja Tanzania... Mkuu amini usiamini hawa watu wanakua na nidhamu tokana na mambo Mengi...

Kitu kimoja nasifia Serkali ya Tanzania katika hii escapade yoote ya EAC ni kua pamoja na porojo zoote za kulegeza mambo kuishi as one country... Serkali imebana mno kutoa work permits kwa foreigners hapa nchini... Taratibu na process plus rules na guidelines zoote zimekaza kila sehemu - hata wale wa kupita njia za panya katika sheria wanapata shida (hii nina hakiak)... Hivo basi unategemea huyu Mkenya apate work permit hapa ataleta mchezo kazini?? I believe not... Mie ni Mtanzania... Napenda niongee kuwa Watanzani tunaonewa... But inabidi nitumie logic na niwe reasonable...
 
Utumwa wa fikra utaendelea kuwepo endapo sisi wenyewe hatutaonyesha namna ya kuepukana nao. Angalia nchi yetu ina rasilimali nyingi sana. Lakini kutokana na utumwa wa fikra,tumewakabidhi wageni kwa kisingizio cha uwekezaji. Hivyo tusisitaajabu haya yanayotukuta leo ni matunda ya mbegu tulizozipanda wenyewe.
 
Sawa.
Swali: Ughaibuni mbona makazini (I'm talking about corporate America), mbona wakenya ni weupee tuuu na ni wa kawaida sana kulinganisha na wabongo? What's the big deal nyumbani?

mkuu mbongo akiwa katika best environment sio mkenya tu
hata aje nani atashangaa..
halafu wabongo wengi wanaokwenda nje wako bright kuliko wakenya wanaokwenda nje
kwa sababu kenya wanaenda wengi mno.watanzania sio wengi
nimesikia marekani kuna watanzania 18.000 tu
wakati wakenya wapo 200000....

so nje wao ni quantity,sisi ni quality...
 
kiingeraza sio ishu mkuu
ishu ni general knowledge tuko nyuma
Haya mkuu.
Ukumbuke kama mtu ni maimuna atafanya nini ili apate kazi wakati job interviews sehemu nyingi inakuwa conducted in English?
 
Haya mkuu.
Ukumbuke kama mtu ni maimuna atafanya nini ili apate kazi wakati job interviews sehemu nyingi inakuwa conducted in English?

hata kama ni english kuna maswali mengine ni yes or no
kama una upeo..
hapo ndo ishu?
hivi unakumbuka celltell university challenge?
ulionaje?
 
mi nawapenda tu wakenya mikopo wapo fasta sana bila hata kujuana, hayo ya anatoka wap sijui wala sijawahi muona

You are right, hawa jamaa ni risk takers hasa ndiyo maana wanashikilia post za maamuzi, sisi wabongo tunaishia kwenye utekelezaji. Bashir Awale jamaa upstairs yupo vizuri sana, hasa kwenye upande wa Corporate Finance. Watanzania tuna asili ya woga sana katika kutoa maamuzi magumu. Tunafikiria zaidi upande wa worse scenario wakati wenzetu wanaangalia best scenario. Hili suala la woga wa maamuzi lipo hata kwa viongozi wa nchi.

Watanzania tuko affected na CULTURE OF SILENT, iliyojengwa wakati wa awamu ya kwanza ya utawala. Watanzania hatupo aggressive kwenye kutake risk kwani tumekuwa-socialised kuwa risk is bad uless it is for your own benefit, kama vile ufisadi n.k. Hii tendence ya kuwa risk averse people inatunyima fursa ya kuwa watoazinisha/ wai maamuzi kwenye mabank haya ( Executives). Tutabaki kuwalaumu wageni bila sababu, ukitaka kujua tabiazetu waangalie viongozi wetu wa nchi. Hii ni suala lililofanyiwa research kabisa katika suala la culture. Utashangaa mtu unaenda Bank unamkuta Mmbongo mwenzako anaanza kukuliza maswali na kukuzunguusha wakati wenzetu wanachukua Financial parameter zako na kuziingiza kwenye software na kujua risk status yako in a minute. Sisi wabongo mtu anataka akukopeshe kumi halafu yeye nae achukue tatu kwenye kulipa ulipe wewe kumi + Interest, ukimuambia kwa nini anakwambia yeye ana-risk kazi yake kukupatia mkopo. waacheni wakenya watafune matunda ya uwekezaji sisi hatufai kabisa.
 
hata kama ni english kuna maswali mengine ni yes or no
kama una upeo..
hapo ndo ishu?
hivi unakumbuka celltell university challenge?
ulionaje?

Give us a brief description about yourself
Describe the time when you were faced with the most difficult task or assignment, and how were you able to overcome and solve it?
How do you deal with stress?
How do you deal with challenges?
What's been the most important achievement in your life so far?
Could you describe your strengths and weaknesses as well?
Why should we hire you?
Do you have any questions for us?

Mkuu Boss hayo ndio mojawapo ya common maswaliz ya job interviews nyingi na hakuna yes wala no. Hebu nambie kama wewe ni maimuna kazi utaipata hapo?
 
Give us a brief description about yourself
Describe the time when you were faced with the most difficult task or assignment, and how were you able to overcome and solve it?
How do you deal with stress?
How do you deal with challenges?
What's been the most important achievement in your life so far?
Could you describe your strengths and weaknesses as well?
Why should we hire you?
Do you have any questions for us?

Mkuu Boss hayo ndio mojawapo ya common maswaliz ya job interviews nyingi na hakuna yes wala no. Hebu nambie kama wewe ni maimuna kazi utaipata hapo?

mkuu nafahamu
but hata english ya hapo bado ni ndogo mno hupaswi kushindwa
kwa kuanzia form four tu...

hivi form four atashindwa kujibu why should we hire you?

mfano swali la mwisho...unaweza kuwarudishia swali moja wenyewe
wanakuuliza do you have any questions for us?
unawajibu yes...give me a brief description about you guys or a brief history of the company....lol

uisahau bodylanguage ya wasiwasi ndo inawaponza wengi..
 
mkuu nafahamu
but hata english ya hapo bado ni ndogo mno hupaswi kushindwa
kwa kuanzia form four tu...

hivi form four atashindwa kujibu why should we hire you?

mfano swali la mwisho...unaweza kuwarudishia swali moja wenyewe
wanakuuliza do you have any questions for us?
unawajibu yes...give me a brief description about you guys or a brief history of the company....lol

uisahau bodylanguage ya wasiwasi ndo inawaponza wengi..


Boss Unamsemea Form four wa hizi shule za JK?? Kuna watu wamemaliza Chuo but they can not answer that convincingly straight....
 
Boss Unamsemea Form four wa hizi shule za JK?? Kuna watu wamemaliza Chuo but they can not answer that convincingly straight....

mimi wanachoniboa hawa watoto ni kuwa wakiongea kiswahili ndo utasema hawajui kiswahili
wanajua kingereza...ishu sasa wakutana na asiejua kiswahili,english fluent
ndo unashangaa khaaa....sasa ile ilikuwa nini?
 
Back
Top Bottom