Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Laptop yangu, CPU imekufa haifanyi kazi kabisa, ukiwasha ile power light inablink mara kwa mara tena kasi na hakuna chochote kinachoonekana kwenye screen (monitor), hv kuna uwezekano wa kununua CPU nyingine na ukapachika kwenye laptop au?