Jimbo la Sugu hili..watakuwa wanajikomoa wenyewe!Kama ni kweli basi huu moto wa Mbeya ni zaidi ya moto,
Labda unawashwa na CHADEMA????
Mbona matatizo ya moto Mbeya hayaishi? Tujuze chanzo cha huo moto mkuu
Habari nilizozinasa hivi punde zinasema kituo cha polisi kikuu cha Mbeya kinawaka moto.
UPDATES
Nimeweza kuwasiliana na kamanda wangu Mh. Mbilinyi (Mb) na amethibitisha kutokea ajali ya moto kwenye makazi ya polisi yaliyopo katika kituo kikuu cha polisi.
Kama ni kweli basi huu moto wa Mbeya ni zaidi ya moto,
Labda unawashwa na CHADEMA????