Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Jamani kuna ujenzi nikuwa nafanya nimezoea kununua cement mfuko mmoja 13500 na mara ya mwisho nimenunua juzi leo nimeambiwa hapo hapo kwenye ilo duka 14500 nikasema shida nini jamani mbona ongezeko kubwa,akajbu ndio gharama za kiwanda zimepanda kisa mgao,jamani tuna serikali au hatuna?haya madhara ya propaganda zao wanayaona au hawaoni kwa kweli imeniuma kila kitu juu sa hivi,tunafaidika nini na hii serikali iliyopo madarakani sukari nanunua 2000 wakati serikali ilisema 1700 kisa viwandani,jamani tunaichukulia hatua gani hii serikali?