KengeWaKijani
Senior Member
- Jun 28, 2012
- 103
- 16
CECAFA MNAZIPONZA TEAM
ZA TANZANIA
Kagame Imekshwa na Hongera
watani YANGA Kwa kuutea
ubingwa wako
Lakini kama wapenda soka
mstakabali wa timu zetu niupi?
*Kwa utaratbu huu wa CECAFA
michuano kufanyikia kwetu kila
mwaka tmu zetu za Tz
zmekuwa zktwaa ubingwa kwa
sapoti ya Mashabiki na c kwa
kiwango au uwezo,
na znajkuta katka wakat
mgumu znapokwenda
kutuwaklsha nje CAF/CONF
Mfano; Bingwa wa CECAFA Wa
last year Yanga waltoka kutwaa
ubingwa wakaenda kutia aibu
Klabu Bingwa Afrka, waltolewa
mapema kabisa katka round ya
mtoano.
*Tatzo ni hili, wahenga
walsema "MTU KWAO" Team
zetu znabweteka na znajitia
ujinga, kwani MTU KWAO NDIO
SILAHA yao kubwa, ndo maana
zmekuwa zkfanya vzuri Hapa
Dar es Salaam ila zkienda
kucheza nje huenda
kichwakchwa wakijua nayo
Kigame.
Mfano wa pili; Simba mwaka
jana Conf. Cup alfanya vzuri
Dar mbele ya Mashabiki
wake,akashnda goli 3 kama
cjasahau, wote Tukajua Simba
amefuzu kwenda next level,
*Aibu kubwa alpoenda Sudan
alichakazwa kama MBWA
MWIZI tena na kijitmu kdogo.
*Matatzo hayahaya yanaitafuna
hdi team ya taifa, Wachezaji
wetu hawajapewa uwezo wa
kucheza ugenin mbele ya
mamia ya mashabiki wa tmu
pinzani wao wanajua kucheza
kwao tu.
Mfano: Yanga asingeifunga
APR Kama ile game
ingechezewa Kampala, au au
katka neutral ground yoyote
Either Nairobi au hata Arusha
pale asngefurukuta hata kdogo
CECAFA WANATUHARIBIA
TIMU ZETU...Wameznyma
fursa ya kucheza away, Kila
mwaka Dar es Slaam.
Tunataka Iwe inazunguka Kote
*Pia wameigeuza CECAFA
kuwa biashara, Tanzania kuna
wapenda soka wengi, ndo
tumegeuzwa Soko.Pelekeni na
Kampala.
Pia
*Timu zetu znabebwa ili zfke
fainal wakusanye mamilion
*Tim ngeni znateswa kucheza
mech nyngi juani saa 8 mchana
na wenyej saa 10 eti kusubiri
watu watoke makazini
wakaingie.
*Halafu TZ timu 4?
ZA TANZANIA
Kagame Imekshwa na Hongera
watani YANGA Kwa kuutea
ubingwa wako
Lakini kama wapenda soka
mstakabali wa timu zetu niupi?
*Kwa utaratbu huu wa CECAFA
michuano kufanyikia kwetu kila
mwaka tmu zetu za Tz
zmekuwa zktwaa ubingwa kwa
sapoti ya Mashabiki na c kwa
kiwango au uwezo,
na znajkuta katka wakat
mgumu znapokwenda
kutuwaklsha nje CAF/CONF
Mfano; Bingwa wa CECAFA Wa
last year Yanga waltoka kutwaa
ubingwa wakaenda kutia aibu
Klabu Bingwa Afrka, waltolewa
mapema kabisa katka round ya
mtoano.
*Tatzo ni hili, wahenga
walsema "MTU KWAO" Team
zetu znabweteka na znajitia
ujinga, kwani MTU KWAO NDIO
SILAHA yao kubwa, ndo maana
zmekuwa zkfanya vzuri Hapa
Dar es Salaam ila zkienda
kucheza nje huenda
kichwakchwa wakijua nayo
Kigame.
Mfano wa pili; Simba mwaka
jana Conf. Cup alfanya vzuri
Dar mbele ya Mashabiki
wake,akashnda goli 3 kama
cjasahau, wote Tukajua Simba
amefuzu kwenda next level,
*Aibu kubwa alpoenda Sudan
alichakazwa kama MBWA
MWIZI tena na kijitmu kdogo.
*Matatzo hayahaya yanaitafuna
hdi team ya taifa, Wachezaji
wetu hawajapewa uwezo wa
kucheza ugenin mbele ya
mamia ya mashabiki wa tmu
pinzani wao wanajua kucheza
kwao tu.
Mfano: Yanga asingeifunga
APR Kama ile game
ingechezewa Kampala, au au
katka neutral ground yoyote
Either Nairobi au hata Arusha
pale asngefurukuta hata kdogo
CECAFA WANATUHARIBIA
TIMU ZETU...Wameznyma
fursa ya kucheza away, Kila
mwaka Dar es Slaam.
Tunataka Iwe inazunguka Kote
*Pia wameigeuza CECAFA
kuwa biashara, Tanzania kuna
wapenda soka wengi, ndo
tumegeuzwa Soko.Pelekeni na
Kampala.
Pia
*Timu zetu znabebwa ili zfke
fainal wakusanye mamilion
*Tim ngeni znateswa kucheza
mech nyngi juani saa 8 mchana
na wenyej saa 10 eti kusubiri
watu watoke makazini
wakaingie.
*Halafu TZ timu 4?