ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Last edited by a moderator:
WAU Salaam wanakoswakoswa goli la 8 hapa......lol
Ngoja nipitie majina ya wafungaji wa APRnani mfungaji mwenye magoli mengi kaka Balantanda
Anaanza leo....Kavaa jezi namba 5Hivi ishu ya Yondani imeishia vipi? Anaruhusiwa kucheza mashindano haya?
Yanga Vs Atletico
Mpira umeanza tayari
Atletico ni ya Burundi..........Ni wazuri kweli aiseeduuu ngoja nisikilizie kwanza kwa yanga watatokaje na hiyo atletico ni ya nchi gani..
wadau tuendelee kuhabarishana..natamani siku ziende fasta nirudi bongo kabla hili kombe halijaisha..pamoja sana Balantanda Katavi na wadau wengine
Atletico ni ya Burundi..........Ni wazuri kweli aisee
Thanks mkuu nimeona, Vipi watani mtatoka kwa hao Warundi?Pouwa mkuu.......Nadhani kuna mabadiliko yamefanyika ila ratiba ya awali ilikuwa ni hiyo
Tunaweza kutoka japo Warundi ni wazuri sanaThanks mkuu nimeona, Vipi watani mtatoka kwa hao Warundi?
Hivi ishu ya Yondani imeishia vipi? Anaruhusiwa kucheza mashindano haya?
Mimi sio kocha lakini Gumbo ni mzuri sana akitokea pembeni kwa sababu ana kasi, kwa hiyo angekaa kushoto, Shamte Ally kulia, Chuji dimba la chini na Niyonzima dimba la juu halafu Kiiza na Tegete ndo wangekaa kwenye sebule, Kiiza ni mzito kucheza pembeni.Anaanza leo....Kavaa jezi namba 5
Niyonzima kabadilishwa kuwa mshambuliaji sasa....
Kiungo(dimba) litashilikiliwa na Chuji na Rashid Gumbo 'Fundi'