Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
kama Rwanda ndio weak kwakuwa walipigwa 4-0 na Uganda, na hao hao Rwanda waliwachapa Somalia 3-0, na hao Somalia waliwapiga Tanzania 1-0, je ni timu ipi itakuwa weak kati ya Rwanda, Tanzania na Somalia????
stong team is Uganda, Rwanda Somalia thn Tz