CDM wameanza kuangamiza ngome ya CCM Bagamoyo. Leo wamefanya mkutano ktk viwanja vya Majengo S/M. Mkutano umefanyika wakati mvua kubwa ikinyesha na watu wakinyeshewa na mvua ya kufa mtu huku wengine wakishindwa kufika uwanjani hapo kutokana na mvua hiyo kubwa.
Hali ya hewa iliendelea kuwa mbaya watu wakitepeta na wengine simu zikiingiwa maji wakiwa bado wamekomaa kusikiliza makamanda wakitoa hoja za ukweli!, nguvu!, na kumharibia siku kila kada wa ccm.
Wwananchi wengi wameonekana kufunguka na kutamani kupata kadi za uanachama (CDM) ambazo kulingana na hali ya hewa kuwa mbaya wengi wamerudi nyumbani wakidai kuwa mvua haijawatendea haki huku wengine wakitamani kujua lini tena makamanda watakuja kuongea nao.
Ktk hali isiyotarajiwa, Nimeshuhudia Kimbunga cha mabadiliko wilayani hapa kikiendelea kuvuta kasi kila kukicha na baadhi ya vijiwe vya CCM vikikosa washabiki na wafuasi. Leo nikipita mtaani na bendela ya CDM kuelekea mkutanoni, vijana wa bodaboda na wachoma Chipsi waliniomba bendela ya CDM kisha wakaitundika ktk moja ya kijiwe ambacho Shukuru Kawambwa alikizinduwa kama shina la tawi takribani mita 100 toka ofisi ya rais wa wilaya.
CCM inakufa jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, Hamia CHADEMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hali ya hewa iliendelea kuwa mbaya watu wakitepeta na wengine simu zikiingiwa maji wakiwa bado wamekomaa kusikiliza makamanda wakitoa hoja za ukweli!, nguvu!, na kumharibia siku kila kada wa ccm.
Wwananchi wengi wameonekana kufunguka na kutamani kupata kadi za uanachama (CDM) ambazo kulingana na hali ya hewa kuwa mbaya wengi wamerudi nyumbani wakidai kuwa mvua haijawatendea haki huku wengine wakitamani kujua lini tena makamanda watakuja kuongea nao.
Ktk hali isiyotarajiwa, Nimeshuhudia Kimbunga cha mabadiliko wilayani hapa kikiendelea kuvuta kasi kila kukicha na baadhi ya vijiwe vya CCM vikikosa washabiki na wafuasi. Leo nikipita mtaani na bendela ya CDM kuelekea mkutanoni, vijana wa bodaboda na wachoma Chipsi waliniomba bendela ya CDM kisha wakaitundika ktk moja ya kijiwe ambacho Shukuru Kawambwa alikizinduwa kama shina la tawi takribani mita 100 toka ofisi ya rais wa wilaya.
CCM inakufa jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, Hamia CHADEMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!