Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
tutoe hoja ya msingi kama si Lowassa ni nani? Mimi namuunga mkono Lowassa 100 percent coz nimeona juhudi zake ktk utendaji wake mfano mzuri ni hatua monduli inayopiga ktk maendeleo sawa ana mapungufu yake ila yanavumilika mbona tumemvumilia na tunaendelea kumvumilia JK