Baada ya ushindi mzito wa udiwani na arumeru ni ishara nzuri ya chama kukubalika zaidi. Ushauri wangu kwa viongozi ni kuorganize kampeni kubwa kama operation sangara ya nchi nzima hasa wilaya zilizo mali na makao makuu ya mikoa au vijijin kwa jina jingine,pia kuna mikoa ambayo hatukufanya vizuri kama mororogoro,tabora,dodoma,lindi ,mtwara na lindi.nawakirisha wadau