charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Ndugu wanaJF, Najaribu kufikiri kitendo cha kupigwa CUF kwenye maandamano yao leo mchana pale buguruni kuwa ni ishara ya mkakati maalum dhidi ya CHADEMA. Hii itakuja kutumika kama sababu ya kuzuiwa maandamano na kupigwa wana chadema.
Nyie mnaonaje?
Nyie mnaonaje?