OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu ! Kama nilivyo wajullsha muda mfupi uliopita, ziara ya makamanda 30 toka chuo kikuu cha saut-mwanza kuelekea kasamwa,geita ndo imeanza. Sasa hivi ndo wanavuka busisi ferry . Zaidi nitaendelea kuwajuza. VEMA SANA