OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu kama nilivyo wajuza jana kuwa leo makamanda wapatao 50 toka chuo kikuu cha saut mwanza leo watahudhuria na kuhutubia mkutano utakao ongozwa na katibu wilaya geita,ndgu Rogerz ,diwani kata ya kasamwa pamoja na makamanda wengine. Hii ni mikakati yao waliyo jipangia ya kupeleka ujumbe wa ukombozi wa kuipigania Tanzania tuitakayo katka maeneo ya pembezoni. Zaidi tutaendelea kupeana yatakayo kuwa yanajiri. M4C FOREVER, MPAKA KIELEWEKE.