Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,271
- 9,900
Leo nilipokuwa natoka zangu shamba nilikuta kunamkutano wa wa CDM unaofanyika shule ya msingi majengo ikabidi niweke pose pale japo kusikiliza moja mbili, Bagamoyo panahitaji nguvu ya ziada pamoja na hali ya hewa iklikuwa pana mvua bado nguvu ya ziada inatakiwa watu si wakuridhisha.
Nimefanya mahijiano na watu kadhaa wanasema tatizo wengi hawkupata taarifa hawakujua wengi ya waliyohudhuria wamekuja baada ya kusikikia mkutano umeanza.
Hatamkutano umechelewa sana kuanza umeanza saa kumi na nusu.
Kijana Husein Katibu na mwenyekiti wajimbo jipangeni vema, kazeni buti kwani kaitka maeneo yanayotakiwa nguvu ya ziada.
Nimefanya mahijiano na watu kadhaa wanasema tatizo wengi hawkupata taarifa hawakujua wengi ya waliyohudhuria wamekuja baada ya kusikikia mkutano umeanza.
Hatamkutano umechelewa sana kuanza umeanza saa kumi na nusu.
Kijana Husein Katibu na mwenyekiti wajimbo jipangeni vema, kazeni buti kwani kaitka maeneo yanayotakiwa nguvu ya ziada.