IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Wabunge wa chadema, hiki ndicho kipindi cha kususia bunge, madaktari wapo kwenye mgomo, ndg zetu wanaendelea kufa. kwa kukosa matibabu Spika hataki mjadala wa madaktari ujadiliwe...., na kwa kuwa hili la Dr UL nalo ni la kitaifa, hapa sasa wabunge wangu tusimame imara kwa hili ili madaktari wanachokidai wasikilizwe,